enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Watu wa codes
alikuwa Angela DamasKuna mmoja jina limenitoka kabisa, alikuwa 2003 au 2004, alikuwa mweupe halafu mnene, sijawahi kumsikia baada ya hapo.
Nilikuwa namwona chuo miaka hiyo, ila baada ya kumaliza sikumsikia tena.
Ni either before au after Happiness Magesa.
MakubwaDada yake yupi huyu wanamwita Nakaya?
Kwani wale si tumbo moja au half sister?Nancy Mme aliyemuoa kamla Dada yake akampiku kaolewa yeye
Nin wewe.... Acha kujisahau.Nitakwambia kitu hapa, humu ndani tulioko ndiyo tulio nje.
Ingawa wakati mwingine tunajificha kwa ID fake, lakini bado tuna wajibu wa kupeana heshima kama ilivyo nje.
Shukrani kwa compliment.
Nin wewe.... Acha kujisahau.
Unashikwa kidevu unajiaaaachia.... Unajikuta namna gaaaani vipi.
Wengine midume iyo.. Inakuchora tu na google drive zako.
Mjini hapa utaibiwa.
2005 alikuwa nancy sumari, angela alikuwa 2002Angela Damas sio 2005?
hadi wanaume wanasetiwa...?Mjini kuna mtandao huo wa wanawake wako kama 4 hvi hao wanawaset madem wakali kwa watu wenye pesa/Wanasiasa Mwanaume ukiwa dhaifuuu himooooo
Ova
Jack ana cota ganiDaaaaa huwa nawaza nyakati zile baisa anachezea lile cota la jack.
Haaah! ishi! ...coke imeisha kiu hakijakata..ongezea nyama tupunguze njaa ya jumatatu!Haikuwa rahisi.. Ulikuwa ni ugomvi mzito.. Pesa ikashinda..
Kinje alimsaidia Jacky ku-maintain maisha classic ya mjini, career yake ya mitindo/music na kumpatia exposure..
Mengi alikuwa ana ofisi yake maalum ya kufanya mikutano na vijana waliokuwa wakihitaji 'kusapotiwa'. Wengi walipata msaada wake. Nilicheka nilivyosikia Jacky anasema walikutana kwenye ndege! Hassanali anajua zaidi..
Msimu huo ulikuwa ni vita pia kwa wadada wa mjini.. Wenyewe waliita mawindo.. Kila mmoja alitaka kupata a finer catch..
Zile nyimbo za K-Lyinn mostly zilimhusu Kinje na madongo kwa mashosti zake... Mambo ya kuporana wanaume..
Pale Makumbusho jirani na eagle wing kuna members only club.. MPs, Ministers, CEOs, Moguls, Dons na Diplomats wanaenda kurefresh.. VIPs only.. PIMPs wa enzi hizo wanajua zaidi... Da' Mange naye kachezea sana mikasi pale.. Niishie hapo. Sitaki kuharibu swaum za watu!
Bifu la Kinje na Mengi halikuwa la kibiashara!
askari akajiua? mwaka gani hiyo?Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
Kinje alipata shida sana kwa huyu Jackie,kuna wakati alitoroka na tapeli la Kibulgaria aliyekuwa anaendesha michezo za lotto nasikia walienda kula bata Msumbiji,kinje alimfuata huko lakiniwapi na wakati huu mdada alikuwa amevalishwa pete na Kijna ,Huyu dada si wa mchezo .Jack aliona amfuate Mengi mwenye pesa zake,sio Kinje mwenye kutegemea za mzee Kingunge. Kije arudie sasa koloni lake.
Mzigua nakusalimia Mkuu!Amekua mbayaaaaa... bora alivyokua na nyama tu. Kuna rafik yangu mmoja wa town aliniambia F I ndio alimfundishaga tigo na kumnyonya huko kwenye tigo
Marahaba mkuuMzigua nakusalimia Mkuu!
Salama msagaji?Sasa hivi hata mke anamshare na Salama Jabir na ubavu wa kumkomesha hana.