Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Alibakwa na wenye hizo video mbovu?ila dada mkubwa alitugeia ubuyu kuwa Salama nae aliwah kubakwaa na ndio chanzo cha kipindi cha kukosoa video kufaa
Alibakwa na wenye hizo video mbovu?ila dada mkubwa alitugeia ubuyu kuwa Salama nae aliwah kubakwaa na ndio chanzo cha kipindi cha kukosoa video kufaa
Huyu Lydia akishawah kuhojiwa na SJ mpaka akaulizwa umeanza kula dudu lini kwa mara ya kwanza akasema chuo kikuu....kumbe wanajuana shughul zao walikuwa wanataka kukamatana ugoni...
Kuna haja ya hata wakat wa kunya ukahakikisha umelock vzur sio kwa kujuana huku. Mi naomba tu kujua yule mrembo sn alo act zari la mentali cjui ....mohamed yuko wap kwa sasa. Na kwanini hakupewa umiss. Anayejua acc yake insta anipe
Watu wanapokonyana mademu utafikiri matonge ya ugali.
LilianHii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzee
View attachment 1095217
W
Walikuwa waswahili kweli nyimbo zao zilikuwa zinakamata wengi waqt wao.
Mkimbizi wa Rwanda, mzaliwa wa Kigoma.Ki asili Klyn ni mtu wa wapi ?
Ndio maana nasikia huwa anawatafuna nyuma tuuthe kibamias
Kwamba na FL M nae alikua akiuzwaga pia?Ninakumbuka, kwenye cycle yake nilikuwa namwelewa sana huyu dogo FL M
Kwamba na FL M nae alikua akiuzwaga pia?
Manzi ni mwembamba sana aisee ni kama mifupa mifupa tupu unapenda design zile mzee?Sidhani, ila alikuwa ni mtu mara kadhaa nimewaona pamoja.
Nilivyokuwa nampenda yule mtoto hiyo option sijawahi kuifikiria.
Ya Salama na Regina mwenyewe ndo nimeinyaka leo
Manzi ni mwembamba sana aisee ni kama mifupa mifupa tupu unapenda design zile mzee?
Looh..Hiyo couple ni ya kabla ya mitandao, kuna mtu alisoma na Salama Zanaki, na walikuwa marafiki anasimulia anasema ni ya muda kiasi hiyo couple, na Salama alikuwa yuko very open kwa friends wake.
Looh..
Nakumbuka hiyo uziFirst time kuisikia ilikuwa 2008, niliiamini kwa sababu yule dada tulikuwa naye ofisini, na alikuwa kwenye cult.
Kuna thread humu ya hizi mishe humu tuliwahi kujadili, nikasema wana kama kikundi chao (cult), ni jamii kubwa sana.
Ndio sababu Nancy na ndugu yake Nakaaya walikuwa hawaongei?,kumbe sababu ni hio...Dada yake yupi huyu wanamwita Nakaya?
Kabla au baada ya Miss Universe? Maana huyo Manzi alikuwa chini ya shangazi MS na sitaki kuamini kama na yeye alikuwa akishiriki hiyo biashara kichaa, japo kwa mjini hapa kila kitu kinawezekana!Sidhani, ila alikuwa ni mtu mara kadhaa nimewaona pamoja.
Nilivyokuwa nampenda yule mtoto hiyo option sijawahi kuifikiria.