lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Naona umerudi!Mashinji anazijua siri zote za mbowe
Ndio maana Mbowe kawa mpole kama wakazi wa geza ulole
Naona umerudi!Mashinji anazijua siri zote za mbowe
Ndio maana Mbowe kawa mpole kama wakazi wa geza ulole
Chezea kufungwa kazidiwa ujasiri na wazee wa escrow wamemkataa shetani na matendo yake wamegoma msujudia kiumbe aliyezaliwa na mwanamke ambae siku zake si nyingi za kuishi duniani ufa sawa na viumbe wengine. Wakusujidiwa ni Yehova pekee,ukiwa na pesa halafu ushakula ujana jela rahaa tu at the end utatoka tuKweli tumbo ni mfalme, yaani unawatosa wenzako sababu ya lishe aka kushiba...laah
What a senseless thread!Full of romances with no observable facts.This is silly!Ndugu zangu,
Nimejikuta nacheka, nikajiuliaza nini maana ya maneno ''no hate no fear'' nikagundua huenda Mashinji ndiye mtunzi wa slogan ya ''No hate no fear''. Hofu ya Mbowe kwa mashinji inatokana na nini?
Kuna haja ya CHADEMA kutengeneza slogan mpya sababu hii ya 'no hate no fear' hamuiamini baada ya Mashinji kuondoka?
Kwanini anamkwepa Mashinji?
Kamanda kejeli hazifuti ukweli, je ni kweli slogan ya ' no hate no fear' aliibuni Mashinji? jielekeze kwenye hoja sasa.Ukiambiwa wewe ni zwazwa unarusha ngumi hewani
In God we Trust
Acha jazba hazitamsaidia 'kamanda mkuu'..jenga hojaWhat a senseless thread!Full of romances with no observable facts.This is silly!
Uchawi unaanzia kwa mkubwa wa nchi anapokataa maridhiano, anapotumia nguvu za dola kukandamiza upinzania, anapokataa tume uru, anapozuia mikutano, anapotumia usalama wa taifa na polisiMnataka mfanye sias vita... Nyie chadema na ccm mnaweza uana kisa hayo mavyama... Kwa wenzetu mbona haipo hivyo... Africa tumerogwa sio bure.
Vipi waliompa wamepata nini?Wapinzani kwa vituko hawajambo
Vipi maalim seif alipomnyima mkono Rais wa Zanzibar alipata nn
Mzukulu,
Nyerere Alikataa kumpa mkono ameen kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za wenziwe
Jee yeye unasemaje ?
View attachment 1367862
Masomo gani bwashee?!
Labda Hijja pale Israel........sisi wastaafu mambo ya shule tumewaachia akina Mashinji!
Vipi waliompa wamepata nini?
Kamanda kejeli hazifuti ukweli, je ni kweli slogan ya ' no hate no fear' aliibuni Mashinji? jielekeze kwenye hoja sasa.
Aolewe mara ngapi mke wake aluminium wa kawe pia ana kansa ya tundu.Utaolewa kwa umbea!
Mdee mbaka aolewe au aoe ndipo akiliyake Itatulia kwasasa yupo kwenye foolish age. Tuta shuhudia mambo mengi ya ajabu kutoka kwake Ni kama Fatuma Karume ukiwa huna mahusiano yanayo eleweka akili inakosa utulivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha jazba hazitamsaidia 'kamanda mkuu'..jenga hoja
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji alivyoingia mahakamani Kisutu leo, Mbunge Halima Mdee akataa kumsalimia.
Mashinji na viongozi nane wa Chadema wanakabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kula njama, kufanya mikusanyiko na maandamano yasiyo halali na ya uchochezi wa uasi.
Update:
Wakati huohuo wakili John Mallya amejitoa kumtetea mshtakiwa namba 6 Dr Mashinji.
Credit :Mwananchi official
Soma: News Alert: - Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM
View attachment 1368151
Unawashwa na niniBali wewe ujanja wako ni usukumani?
In God we Trust
Kwa hiyoWewe ni lumumba tu
In God we Trust