SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Alikuwa maternity leavevipi kubwa la wapiga tarumbeta umerudi...mbona ulipotea sana au posho ilikatwa!
Alikuwa maternity leavevipi kubwa la wapiga tarumbeta umerudi...mbona ulipotea sana au posho ilikatwa!
Kazi ya waliosalitiwa hio. Kama wanakuwa comfortable kufanya ni better kufanyaMsaliti huyu na Alhaji alishasema dawa ya wasaliti ni wauwawe tu.
Hivi unadhani kuondoka kwa SG wa chama, mchezo?
Kwa aliyekuwa SG wa ChamaKwani Mnyika naye ameondoka?
Leo tarehe 24 kesi kutunga inayowakabili viongozi wa Chadema inaendelea kwenye Mahakama ya Kisutu , ambapo mmoja wa watuhumiwa aliyehamia ccm ndugu Mashinji amehudhuria
View attachment 1367756
Mdee anawivu sana
Tujulisheni faida za Maalim seif kumnyima Rais shein mkono
Utaolewa kwa umbea!
Kwa sasa Maalim amezidi kuwa maarufu sana kuliko shenWapinzani kwa vituko hawajambo
Vipi maalim seif alipomnyima mkono Rais wa Zanzibar alipata nn
Mbwa ikikuzoea Sana inaweza kukufuata hadi msikitini, huyu ilitakiwa wote wamdharau tu kama mbwa
Watanzania wengi hawana hiyo courage .... ndiyo maana CCM wanatuburuza kama wanavyotaka.
Kupeana mkono siyo lazima
Ni utoto tu kaufanya... Na hiyo haimpunguzii mtu chochote
Ni unafiki kupokea mkono kwa mtu ambaye humpendi bora muonyeshe wazi kwamba sitaki mazoea ili siku nyingine hasikuzoee. Halafu wanafiki walivyo wewe unaanzaje kusalimia watu uliowasaliti. Lazima mkono wako unapokuja kuutoa kusalimia uende na nia yako iliyoko moyoniNi utoto tu kaufanya... Na hiyo haimpunguzii mtu chochote
Mashinji atakutwa hana hatia hivi karibuni katika kesi hii.