Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,412
Utaolewa kwa umbea!Isije kuwa mambo ya kimahusiano kwa yule mbunge mwingine
Dawa ya msalitiMdee anawivu sana
inahitaji roho ya chuma kwa mtu kama yeye kuwa karibu nao. Mdee amefanya hakiAliyekuwa katibu mkuu wa Chadema, Dk Vicent Mashinji alivyoingia mahakamani Kisutu leo, Mbunge Halima Mdee akataa kumsalimia.
Mashinji na viongozi nane wa Chadema wanakabiliwa na mashtaka 13 yakiwamo ya kula njama, kufanya mikusanyiko na maandamano yasiyo halali na ya uchochezi wa uasi.
View attachment 1367754
Inaonesha ni Chadema dam damMdee anawivu sana
Hayo utajua wewe na umasikini wako wa hela na akiliWapinzani kwa vituko hawajambo
Vipi maalim seif alipomnyima mkono Rais wa Zanzibar alipata nn
Hajataka unafiqinahitaji roho ya chuma kwa mtu kama yeye kuwa karibu nao. Mdee amefanya haki