Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa

Mtaongea yote safari hii lkn mwisho wenu ni tar 28/10. Hamtaamini macho na masikio yenu.

Kumbukeni hata wakati ule TAL akigombea Uenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanzania (Tanganyika Law Society) alikumbuna na figisu nyingi sana. Lkn baada ya kura kupigwa ilionekana wazi kuwa kulingana na idadi ya kura alizopata ni kwamba hata wale Wanasheria wa upande wa pili walimpigia kura Mh Lissu.
Nilishawatolea huu mfano,kuwa ndo itakavyokuwa tar 28.
 
Tundu Lisu is a victor
 
Lisu nichagueni nitaweka rehani madini kwa wazungu.
IMG_20201025_091840.jpg
 
Dkt. Slaa sio mpinzani ni CCM. Ajawahi rudisha kadi ya CCM Kama Lowassa thus wamerudi ccm. Mpinzani bora hawezi jiunga ccm.
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani mmoja bora kabisa kuwahi kutokea basi ni Dkt. Wilbroad Peter Slaa.

Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.

Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.
Ni kweli kabisa, Tanzania hatuna wapinzani wenye akili, nasema HAKUNA.
 
Mwaka jana kulivuja sauti ya wabunge wa Chadema Said Kubenea na Anthony Komu wakipanga njama za kumuuwa Boniface Jacob ili hatimae wafanikishe adhima yao ya kumng'oa Freeman Mbowe kwenye uenyekiti wa chama.

Baada ya sauti hizo kuvuja mara moja chama kilitangaza kikao cha dharura cha kamati kuu kuwahoji ili waweze kuchukuliwa hatua kali sana ikiwa pamoja na kufukuzwa Chadema.
Matokeo yake baada ya kikao cha kamati kuu hao wabunge wauaji walisamehewa na kutakiwa kuomba radhi tu!!!

Kama hali ni hiyo, wabunge wa viti maalum Chadema si wauaji na wala hawajatishia kumuuwa mtu yoyote ila wanajaribu tu kutumia haki yao ya kikatiba iweje wafukuzwe Chadema?
Kweli kuwa mwanamke Chadema ni dhambi kubwa kuliko wapanga mauaji waliosamehewa??

Tusubiri na kuona kesho kikao cha kamati kuu chadema kitaamua nini ,bila shaka Mbowe is going to be tested again na maamuzi tofauti na kufukuza yatamwimalisha ,na maamuzi ya kufukuza hao wanawake itakuwa ni kiss of death kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla.
 
DJ dikteta Mbowe hataki wenzake waende bungeni baada ya yeye kushindwa vibaya kule Hai
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani wa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.

Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.

Kutetea Mabeberu, kuombea taifa lipatwe na mabaya na kufurahia nchi inapopatwa na majanga
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani mmoja bora kabisa kuwahi kutokea basi ni Dkt. Wilbroad Peter Slaa.

Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.

Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.
Mzee mzima mnafiki
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani mmoja bora kabisa kuwahi kutokea basi ni Dkt. Wilbroad Peter Slaa.

Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.

Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.

Kama ni kweli angetoa sifa akiwa bado mpinzani 😂 sifa za kinafiki na kujaribu kupiga vijembe wengine
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama kuna mpinzani mmoja bora kabisa kuwahi kutokea basi ni Dkt. Wilbroad Peter Slaa.

Dkt. Magufuli amesema Slaa alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kwa masilahi mapana ya Watanzania na ndiyo maana aliamua kumteua kuwa balozi wa Nchi yetu huko Sweden.

Dkt. Magufuli amesema wapinzani wa sasa wanachokijua ni kutukana, kutetea mabeberu na kutoka nje ya Bunge kila Bajeti ya Serikali inapoletwa.
Simba ikiunga mkono yanga ndiyo timu bora!
 
Back
Top Bottom