Taarifa zilizonaswa toka kampeni team ya Magufuli zinasema kuna uwezekano mkubwa kuwa Mgombea wa CCM Dkt Magufuli hatakwenda jimbo la Kigamboni, Kutokana na hofu aliyonayo.
Taarifa za ki-inteligensia zimebaini kuwa mgombea huyo atakutana na upinzani mkubwa kwa wana-kigamboni walio wengi ambao walishaapa kutokumuunga mkono kutokana na dharau aliyowaonesha.
Kauli ya JEURI na KIBURI ya Dkt Magufuli aliyotoa kwa wana-kigamboni walipokuwa wakipinga ongezeko kubwa la nauli ya kivuko, ndio sababu kubwa ya kisasi wanakigamboni hao walio nacho dhidi ya Magufuli.
Dkt Magufuli alidaiwa kuwajibu wanakigamboni hao kuwa
"ASIYE NA NAULI YA KUPANDA KIVUKO, APIGE MBIZI".
Kwa sababu hiyo Magufuli ana hofia kuwa kufanya kampeni huko kunaweza kuathiri sana taswira yake na chama chake kuelekea uchaguzi mkuu hapo october.
Taarifa za ki-inteligensia zimebaini kuwa mgombea huyo atakutana na upinzani mkubwa kwa wana-kigamboni walio wengi ambao walishaapa kutokumuunga mkono kutokana na dharau aliyowaonesha.
Kauli ya JEURI na KIBURI ya Dkt Magufuli aliyotoa kwa wana-kigamboni walipokuwa wakipinga ongezeko kubwa la nauli ya kivuko, ndio sababu kubwa ya kisasi wanakigamboni hao walio nacho dhidi ya Magufuli.
Dkt Magufuli alidaiwa kuwajibu wanakigamboni hao kuwa
"ASIYE NA NAULI YA KUPANDA KIVUKO, APIGE MBIZI".
Kwa sababu hiyo Magufuli ana hofia kuwa kufanya kampeni huko kunaweza kuathiri sana taswira yake na chama chake kuelekea uchaguzi mkuu hapo october.