robert deusi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2014
- 399
- 69
Kwa Magufuli, mbona LOWASSA atakaa tu
Akuna zaidi ya lowassa ndani ccm
Kwa Magufuli, mbona LOWASSA atakaa tu
Watz tuna imani kubwa sana na magufuli
hapo wala sioni kama ni ubinafsi, kwani wafaidikaji wakuu ni wananchi wanayotumia barabara hiyo, yeye ukimuita mbinafsi kwa kujenga barabara ambayo imewanufaisha wananchi moja kwa moja na sio kuwa ni wa jimbo lake tu, kwani inatumika kwa wakazi wote wa bukoba, na hao wanaokula pesa wao na familia zao tuwaiteje? mala hiyo milioni kumi niliitumia kwa mboga!! huyo lowasa kwa ufisadi wote alioufanya ni tajie hata sehemu moja ambapo wananchi wamefaidika nao? kama sio hadi leo ndio unatutafuna kwenye sekta ya umeme?? hata kama magufuli ana mapungufu yake lakini yamzidi lowasa na ndio tishio kubwa kwa kambi ya lowasa ni huyu. we uwe kambi moja na kina chenge, rostam, kalamagi kuna nini hapo?!!! serikali itakuwa ya genge la MAFIA.
Taja mmoja alie msafi ambae anaweza kusimamishwa na ccm..
Watanzania hatuna imani na Magufuli kabisa ni mtaka sifa na dikteta kila kitu anajue yeye tu,kwanza ni mbinafsi mno,aliamua kuipitisha barabara kuu ya Mwanza hadi Bukoba jimboni kwake Chato,aliamurisha michoro ya awali kuachwa na ichorwe michoro mipya ya barabara itakayopitia jimboni kwake baada ya jimbo lake la awali kugawanywa na yeye akaamua barabara ipite liliko jimbo lake jipya.
ccm mkilogwa mkampendekeza lowassa achukue fomu ya urais mmeumia.
Sisiem walimtosa Lowassa, CDM wamempokea na kumpatia fursa ya kugombea urais kwa mwamvuli wa UKAWA, je, CDM na UKAWA nao wameumia? Naomba jibu lako fasta!