Dkt. Leonard Chamuriho ni nani?

Hali gani, Mimi Niko nje kabisa ya wigo leo ndiyo nafungua simu
 
Jf kiboko ya wachawi hapa tz , wewe ulianzisha jf upo na makao mazuri siku yako ikifika, jf ni ukweli na uhakika
 
Mtoa mada, kwa nini leo ndio umetamani kumfaham na si hapo kabla?
 
Ni Engineer mzuri sana. Waziri sasa. Kafundisha FOE (CoET) kwa muda mrefu.
 
Shetani hana rafiki, acha na yeye aisome namba tu.
 
Haki yake kivip wakati yeye bado ni Vp?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…