rich gang
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,552
- 908
CCM PAMOJA NA UVCCM WALIPIGA MAKOFI SANA PINDI MIKATABA HII INA SAINIWA NA LEO TENA CCM NA UVCCM WANAPIGA TENA MAKOFI.....IVI INA KUAJE HAPOndugu.. kuna clip inasambaa mitandaoni kuhusu maoini yake kabla ya kuwa raisi.. alizungumza kabisa kama angekuwa yeye ni rais mchanga usingesafirishwa nje,, naamini umeshaisikia maana ni ya zamani sana. alikuwa akipiga story na akina kitwanga.
na sasa anasimamia mawazo yake yale ya siku ile. ulitaka afanyen nini wakati hajawahi kuwa waziri wa nishati na madini?