Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Hii habari iliyoandikwa hapa haina ukweli wowote.Wengine tunafuatilia speech za Dr Kimei na hakuwahi kusema yaliyoandikwa hapo juu.Gazeti la Mtanzania wamepotosha habari na sio jambo la busara kupindisha taarifa.mnawachanganya wananchi.
Narudia tena hayo maneno hayajazungumzwa na Dr Kimei labda yamewekwa ili kuuza gazeti.
Wewe ni msemaji wa CRDB?