Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,183
Tuliandika humu kuwa anachokitafuta atakipata, bora ya Dr. Musukuma kuliko huyo KimeoTulionya mapema sana kwamba mikutano ya hadhara si kwa kila mtu .
Huko Vunjo Dr Kimei amekiona cha moto kwa wananchi kukosekana kwenye mkutano wake wa hadhara , ambao umeandaliwa kwa gharama kubwa , yaani hata vile viti 20 alivyoviandaa havikupata watu wa kuvikalia ! Noma sana !
Onyo : Mikutano ya hadhara siyo semina za CRDB .