johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Waziri wa Maliasili na utalii Dr Kigwangalla leo amezuru nyumbani kwa msichana Akwilina aliyeuawa kwa kupigwa risasi. Dr Kigwangalla amesema amesikitishwa sana na mauaji hayo ya kinyama kwa raia asiye na hatia.
Source ITV habari na BBC Dira ya Dunia!
Source ITV habari na BBC Dira ya Dunia!