Dkt. Kigwangalla amlilia mwanafunzi Akwilina

Dkt. Kigwangalla amlilia mwanafunzi Akwilina

Lazima upate shida kuelewa....as long as umeamua kujifanya chizi .
"Nitaongoza mapambano nchi hii, nitaongoza mapambano nchi hii, hata kama watanzania (100) watakufa wataleta haki nchi hii ni wangapi wanasema tufanye kama Misri na Libya?!! , Watakao kufa hata wakiwa (200 ) tuko tayari kwa mapambano na wao wanafikiri ni kinondoni tu lakini Ilala itawaka pia nchi nzima iwataka moto'"

Mwisho wa kunukuu (Maneno ya Freeman Mbowe mbunge wa Hai-Katika mkutano wa kufunga kampeni wa 16/02/2018 uliofanyika viwanja vya Buibui, Mwananyamala Komakoma).

Kauli kama hizi ni mbaya sana kutolewa na viongozi wa vyama vya siasa.

R.I.P Akwilina
 
Waziri wa maliasili na utalii Dr Kigwangala leo amezuru nyumbani kwa msichana Akwilina aliyeuawa kwa kupigwa risasi. Dr Kigwangala amesema amesikitishwa sana na mauaji hayo ya kinyama kwa raia asiye na hatia. Source ITV habari na BBC Dira ya Dunia!
Zidumu fikra za mwenyekiti
 
"Nitaongoza mapambano nchi hii, nitaongoza mapambano nchi hii, hata kama watanzania (100) watakufa wataleta haki nchi hii ni wangapi wanasema tufanye kama Misri na Libya?!! , Watakao kufa hata wakiwa (200 ) tuko tayari kwa mapambano na wao wanafikiri ni kinondoni tu lakini Ilala itawaka pia nchi nzima iwataka moto'"

Mwisho wa kunukuu (Maneno ya Freeman Mbowe mbunge wa Hai-Katika mkutano wa kufunga kampeni wa 16/02/2018 uliofanyika viwanja vya Buibui, Mwananyamala Komakoma).

Kauli kama hizi ni mbaya sana kutolewa na viongozi wa vyama vya siasa.

R.I.P Akwilina
ccm oyeeeeee
 
Kigwangala hajatoa ULTIMATUM kwa polisi wampeleke muuaji ndani ya siku 7?
 
Ninani aliyezuia viapo vya mawakala huyu tumjue
 
TISS + ccm = mafia, huu ulikua Ni mpango wa kimafia wa kuiba uchaguzi kwa mabavu halafu mafia wanamuua mtu ili kufanya watu waache kufuatilia wizi wa mabavu wa kura waelekeze mawazo msibani
 
kifo cha mzungu kilimfanya akawapa policcm siku saba watuhumiwa wafikishwe mahakamani,cha mchaga huyu wa rombo kajifanya kasikitika,hawa jamaa uzuri wanajijua kwamba awamu hii strategy yao ni kusulubu ikibidi kuua kabisa so wanachofanya ni maigizo ya ki futuhi,machozi ya mamba
 
mnafiki tu...wote walikuwa kimya lakini baada ya baba yao kusema umestushwa na kifo cha akwilina ndo wakina wenzangu na mimi ndo wanatoka mafichoni....laana kum
 
kifo cha mzungu kilimfanya akawapa policcm siku saba watuhumiwa wafikishwe mahakamani,cha mchaga huyu wa rombo kajifanya kasikitika,hawa jamaa uzuri wanajijua kwamba awamu hii strategy yao ni kusulubu ikibidi kuua kabisa so wanachofanya ni maigizo ya ki futuhi,machozi ya mamba
Jamani mnyonge mnyongeni lakini........!!
 
Hii habari ya mambo ya Kinondoni ni aibu kubwa sana. Imenihuzinisha mno. Tujitafakari.
 
napata shida sana kuelewa hilo tukio la kumpiga risasi huyo binti! Kwani huyo binti alikuwa akiandamana akidai haki au alikuwa anapita na risasi ikampiga kwa bahati mbaya hasa kutokana na uzembe wa polisi? Kama hivyo ndivyo, iweje kilaumiwe chama fulani kwasababu ya ushindi wake badala ya kulaumu huyo mfyatuaji wa risasi? Kama ni uzembe wa polisi kwanini upinzani ushikilie bango kuwa ilikuwa ni makusudi wakati binti alikuwa mpita nja tu? Je ni dalili ya upinzani kukosa uwezo wa kuchambua masuala na kutambua kuwa ilikuwa bahati mbaya? Hali hiyo ni inaweza kuwa inaashiria mwanzo wa mwisho wa upinzani tukielekea uchaguzi mkuu wa 2020?
akili yako ni fupi ndio maana huwezi kuelewa. chadema waliandamana kwa sababu ya mawakala wao kunyimwa viapo na mkurugenzi wa uchgaguzi ambae ni kada wa ccm huku wao ccm wakipewa mapema. sasa hapa aliyesababisha mauaji ni nani? huyo mkurugenzi wa uchaguzi anatakiwa kujibu mashtaka. usiangalie ulipoangukia tuangalie tulipojikwaa.
 
Back
Top Bottom