johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Mjumbe mstaafu wa Baraza la Mawaziri Dkt. Kigwangalla amesema ni kweli Shida za Wakulima zipo lakini hazikuanza leo zilikuwepo tangu Mzee Warioba akiwa Waziri na alishindwa kuzitatua
Kuna tatizo la Bei na Masoko ya mazao ya Wakulima, amesema mh. Kigwangala
Chanzo: ZamaMpya Tv
Kuna tatizo la Bei na Masoko ya mazao ya Wakulima, amesema mh. Kigwangala
Chanzo: ZamaMpya Tv