Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,780
Wew mwenyewe upo zenji ila babu yako alitoka tabora kwa wanyamwezi na akawa mtumwa wa waarabu zenji......bahati nzuri hawakumuhasi.....ndio maana leo upo.
Afu unajifariji ww mwarabu 🤣🤣🤣
Au ww adui wa mapinduzi matukufu ya mwaka 1964???
NB......SAWA WEW MWEUSI MWARABU HAKUNA SHIDA 🤣🤣🤣
Naona unamtukana nyerere kiarabu kisa alimfukuza mwarabu zanzbar ambapo babu zako walikua watumwa na bibi zako vijakazi wa kuzalishwa vizazi vya machotara.
Mwarabu ndiye anayekutawaleni kwa akili zenu mbovu, Usijaribu kudanganya kama vile uko kanisani kwenu
usitukane watu humu , Hakuna mnyamwezi alifanywa mtumwa. hao wanyamwezi walikuwa na watumwa wao , soma historia