dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Upuuzi mtaacha lini? angalau ungesema ww unafaaaHuyu Mheshimiwa ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa muda mrefu na Mtoto wa Raisi mstaafu Mzee Mwinyi nafikiria anaweza kuwa kiongozi mzuri sana kwa kiti cha Uraisi kupitia CCM.
Ni mtu mtulivu, hana kashfa ndogo wala kubwa, sio mtu wa kuruka kuruka kama kichaa, ana uzoefu wa muda mrefu, yuko composed.
Kama uteuzi ndani ya CCM safari hii utalenga kutoa nafasi kwa wenye asili za Zanzibar ama hata vinginevyo, nafikiri Mhe Hussein Alli Hassan Mwinyi atakua chaguo bora.
Mengine tuziachie mamlaka.
Sent using Jamii Forums mobile app