Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu,
Nimekuwa nafatilia kwa muda mrefu sana matamko ya kichochezi yanayotolewa na huyu mama.
Binafsi yangu bado sijapata dhamira na lengo la huyu mama dhidi ya serikali yetu pendwa ya awamu ya tano.
Tumeshuhudia mauaji ya kikatili yaliyoendelea kibiti na pwani lakini huyu mama hakuonyesha kuumizwa na kinachoendelea wala kulaani ukiukwaji wa haki ya kuishi ulioendelea kibiti lakini kutwa kutoa matamko ya kichochezi tu dhidi ya Serikali yetu pendwa.
Napata mashaka kujiuliza ni nani aliye nyuma yake na akiharibu amani yetu anapata nini?
Nimekuwa nafatilia kwa muda mrefu sana matamko ya kichochezi yanayotolewa na huyu mama.
Binafsi yangu bado sijapata dhamira na lengo la huyu mama dhidi ya serikali yetu pendwa ya awamu ya tano.
Tumeshuhudia mauaji ya kikatili yaliyoendelea kibiti na pwani lakini huyu mama hakuonyesha kuumizwa na kinachoendelea wala kulaani ukiukwaji wa haki ya kuishi ulioendelea kibiti lakini kutwa kutoa matamko ya kichochezi tu dhidi ya Serikali yetu pendwa.
Napata mashaka kujiuliza ni nani aliye nyuma yake na akiharibu amani yetu anapata nini?