badison
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,450
- 2,702
Tangu aondoke Lissu hiko chama ni sawa na ccm tu.
Lisu alikuwa raisi mbovu katika historia ya TLS
Tangu aondoke Lissu hiko chama ni sawa na ccm tu.
Bado viongozi walewale? Yani bado tufanye reform sisi tunafanya Reboot.Kwanini?
Na hii inatuonyesha vijana wa Chadema wako huru kifikra kuchagua wakipendacho hawapelekeshwi na viongozi wao.Amekuwa endorsed na baadhi ya wanachama wa Chadema ( kitu kilicho nishangaza). Catherine Ruge na wengine walim endorse Flaviana. Chadema haikum endorse mtu yeyote.
Amandla.
Nchi hii unafiki kila kona, hawa wanasheria waliandika waraka mrefu sana kuhusu kujikinga na Covid na kuonyesha athari kubwa kwa jamii na baadhi ya wenzao,ila leo sijaona tahadhali yoyote iliyochukuliwa kwenye huo mkutano wao na hata wakati wa kushangilia na Hosea.........hakuna mTz anayeishi maneno yakeWaliochuana kuwania urais ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hosea, wakili maarufu, Albert Msando, Flaviana Charles, Shehzad Wall na Rais wa zamani wa chama hicho, Francis Stolla.
=======
Matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa TLS
1. Edward Hoseah - 297
2. Flaviana Charles - 223
3. Shehzad Walli - 192
4. Albert Msando - 69
5. Francis Stolla - 17
View attachment 1753667
Soma speech yake ya leoNa ni upuuzi mtupu,Hosea ana legacy gani ya usafi?
Kum endorse mtu kama yule lazima uwe taahira kwa kiasi flani.Chadema wame bugi big time.
Hahahaaaa...... Kumbe kahamia CCM kwa Wema Sepetu na mwanaFA!Msando ni wa Ccm. Kumbe hata huwajui wanachama wenzio kindakindaki kama alberto mdangaji wa aliyekuwa Hayati Magufuli
kwani si hata lisu alikikutaTangu aondoke Lissu hiko chama ni sawa na ccm tu.
Hahaha wale mnaochukia Wasukuma mnalo haya tena msiowataka waanza kurudi kwenye uongozi. Chuki za kikabila hazina issue Tanzania tulieni tujenge nchi. Kwa jina la Tanzania kazi ziendeleeView attachment 1753667
Waliochuana kuwania urais ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hosea, wakili maarufu, Albert Msando, Flaviana Charles, Shehzad Wall na Rais wa zamani wa chama hicho, Francis Stolla.
Matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa TLS
Edward Hosea 293
Flaviana Charles 223
Shezhad walli 192
Albert Msando 69
Francis Stolla 17
======
UCHAGUZI TLS, NI DKT HOSEA
Dkt Edward Hosea amekuwa Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akishinda kwa jumla ya kura 293 akifuatiwa na malkia wa nguvu Flaviana Charles aliyepata Kura 223 Kati ya kura 802 zilizo pigwa na wanachama hao.
View attachment 1753814
Wasukuma wana karama ya uongozi sana TLS wamepata jembe hawatajuta zaidi ya kufaidi uongozi mathubutiNa ni upuuzi mtupu,Hosea ana legacy gani ya usafi?
Kum endorse mtu kama yule lazima uwe taahira kwa kiasi flani.Chadema wame bugi big time.
CHADEMA Walimuunga huyu jamaa kwa hali na mali. Sijajua kwa niniView attachment 1753667
Waliochuana kuwania urais ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk Edward Hosea, wakili maarufu, Albert Msando, Flaviana Charles, Shehzad Wall na Rais wa zamani wa chama hicho, Francis Stolla.
Matokeo ya Uchaguzi wa Urais wa TLS
Edward Hosea 293
Flaviana Charles 223
Shezhad walli 192
Albert Msando 69
Francis Stolla 17
======
UCHAGUZI TLS, NI DKT HOSEA
Dkt Edward Hosea amekuwa Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) akishinda kwa jumla ya kura 293 akifuatiwa na malkia wa nguvu Flaviana Charles aliyepata Kura 223 Kati ya kura 802 zilizo pigwa na wanachama hao.
View attachment 1753814
Bongo Unafiki Mwingi Msando swala la corona aligeuka kuwa daktari mpaka aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa wakati huo Mrisho Gambo akamsweka ndani. Leo bado corona ipo hakuna Tahadhari yeyote aliyochukuwa.Nchi hii unafiki kila kona, hawa wanasheria waliandika waraka mrefu sana kuhusu kujikinga na Covid na kuonyesha athari kubwa kwa jamii na baadhi ya wenzao,ila leo sijaona tahadhali yoyote iliyochukuliwa kwenye huo mkutano wao na hata wakati wa kushangilia na Hosea.........hakuna mTz anayeishi maneno yake
Hatujamchagua kwa usukuma wake kuwa na nidhamu. Pia hata kama ni msukuma Ila hakuwa sukumagang maana Magu alimfuta kazi and he was close kupelekwa jela akamstahi tu. So shut your hole. Tumemchagua kwa merits zake sio usukuma au dini.Hahaha wale mnaochukia Wasukuma mnalo haya tena msiowataka waanza kurudi kwenye uongozi. Chuki za kikabila hazina issue Tanzania tulieni tujenge nchi. Kwa jina la Tanzania kazi ziendelee
Hv pale mlimani city watu wanatiana sana kwenye noa!!??Msando is a good chap, na angeshinda Ila Ile clip ya yeye kupima oil kwenye gari ndio ilimtoa kwenye reli.
Watu hawapimii oil mbele ya camera, hayo mambo yanafanywa ndani ya Noah tinted mlimani city.