Tarehe 16 April 2021 ni siku ya uchaguzi mkuu wa viongozi katika Chama Cha Mawakili Tanganyika TLS (Tanganyika Law Society).
Wagombea urais waliopitishwa kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) hapo April 16 2021 ni wagombea watano ambao ni; Shehzada Walli, Albert Msando, Francis Stolla, Dk. Edward Hoseah na Flaviana Charles.
Kuelekea mkutano mkuu wa na uchaguzi wa viongozi, Chama cha Mawakili Tanganyika kupitia Corporate Secretary wake msomi Mariam Othman, kimetoa ufafanuzi juu ya upatikanaji wa viongozi hao. Ufafanuzi huu ni kufuatia mabadiliko ya sheria TLS yaliyofanyika hivi karibuni.
Pia viongozi wa kanda saba watachaguliwa sambamba na kiongozi wa mawakili wachanga.
Source : Wakili TV
Wagombea urais waliopitishwa kugombea urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) hapo April 16 2021 ni wagombea watano ambao ni; Shehzada Walli, Albert Msando, Francis Stolla, Dk. Edward Hoseah na Flaviana Charles.
Kuelekea mkutano mkuu wa na uchaguzi wa viongozi, Chama cha Mawakili Tanganyika kupitia Corporate Secretary wake msomi Mariam Othman, kimetoa ufafanuzi juu ya upatikanaji wa viongozi hao. Ufafanuzi huu ni kufuatia mabadiliko ya sheria TLS yaliyofanyika hivi karibuni.
Pia viongozi wa kanda saba watachaguliwa sambamba na kiongozi wa mawakili wachanga.
Source : Wakili TV