Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,067
Kuna taarifa kwamba Mzee Edward Hosea ametia nia ya kugombea Urais wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS), bila shaka kama Mwanasheria anayo haki ya kugombea Cheo hicho.
Bali kwa mtu aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa TAKUKURU kuja kuomba kura ili awe Rais wa TLS, ni lazima watu wenye akili timamu tujiulize malengo yake hasa ni yapi, TLS inajulikana kwa kazi zake za kupigania haki ili kuhakikisha nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria, huyu Hosea anao uwezo wa kupigania haki za kisheria ikiwemo kuielekeza serikali aliyoitumikia kwa miaka mingi?
Bali kwa mtu aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa TAKUKURU kuja kuomba kura ili awe Rais wa TLS, ni lazima watu wenye akili timamu tujiulize malengo yake hasa ni yapi, TLS inajulikana kwa kazi zake za kupigania haki ili kuhakikisha nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria, huyu Hosea anao uwezo wa kupigania haki za kisheria ikiwemo kuielekeza serikali aliyoitumikia kwa miaka mingi?