So as Msando na Stolla hawafai, I am into practice for ten years now tumekuwa under attack kwa muda ila tumejitahidi kuwakataa wanaoletwa kukisaliti chama. Msando amepata pigo he was expecting kupata zengwe sababu alikuwa na back up ya mkulu aliyetutoka na nia take alikuwa anakuja kuharibu chama ili akimaliza hiyo kazi apewe cheo serikalini. Mzee hajawahi kutupenda mawakili na alikuwa anahakikisha anatubana sababu sisi ni watu wa kuhoji taratibu maybe alikuwa hataki kuhojiwa. Hawa walikuwa ni vibaraka ambao walitaka kuharibu taswira ya profession yetu Mungu so Athumani lakini na amekatwa jina wote wamekatwa. Waliobaki Sina tatizo nao especially Flaviana alishwahi kuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Wanafunzi DARUSO wakati namalizia undergraduate degree yangu miaka hiyo ya 2000 mwanzoni. Huyu dada sina Shaka nae ila hawa wengine ukiacha yule nadhani shombe au mhindi hao wengine ni tatizo kubwa kwa ustawi wa chama chetu uzuri wanasheria huwa tuna kauli moja maana moja ni moja tu sio mbili.ukisema mbili tunabaki kuangalia tu tutakutana mahakamani.Ni jukumu lenu mawakili vijana kuamua direction ya taasisi yenu. Hosea belongs to the past; he cannot add value to what the past presidents created.
Ha ha ha ameshashinda huko kwa ushindi mwembamba kapata kura 230 kati kura 800. Msando kawa wa mwisho anakula 60 kati ya 800.Nilishamsahau,nikawa najiuliza kuwa hili jina si geni masikioni mwangu, hakika madaraka yakikutoka basi kila kitu kinasahuliwa,kweli mimi nilikuwa wa kumsahau Dr Edward Hosea?
Naamini kutokana na ukwasi alionao basi hizo kura si ajabu amezipata kwa kuwarubuni ha wanasheria.Ha ha ha ameshashinda huko kwa ushindi mwembamba kapata kura 230 kati kura 800. Msando kawa wa mwisho anakula 60 kati ya 800.
Ni jukumu lenu mawakili vijana kuamua direction ya taasisi yenu. Hosea belongs to the past; he cannot add value to what the past presidents created.
Kuna taarifa kwamba Mzee Edward Hosea ametia nia ya kugombea Urais wa Chama cha wanasheria wa Tanganyika (TLS), bila shaka kama Mwanasheria anayo haki ya kugombea Cheo hicho.
Bali kwa mtu aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa TAKUKURU kuja kuomba kura ili awe Rais wa TLS, ni lazima watu wenye akili timamu tujiulize malengo yake hasa ni yapi, TLS inajulikana kwa kazi zake za kupigania haki ili kuhakikisha nchi inaendeshwa kwa misingi ya sheria, huyu Hosea anao uwezo wa kupigania haki za kisheria ikiwemo kuielekeza serikali aliyoitumikia kwa miaka mingi?
Ni aibu kuomboleza mbwa akifa.Amefikia hatua ya kuionea aibu maiti kwamba kwa nini inaliliwa sana
Hivi Msando tangu anunuliwe kutoka Chadema amewahi kushinda nini ? Chadema alishinda udiwaniHa ha ha ameshashinda huko kwa ushindi mwembamba kapata kura 230 kati kura 800. Msando kawa wa mwisho anakula 60 kati ya 800.
Kwenye list ile sijaona any suitable candidate, yeyote ni bora liende tu.