Nimeongea hvyo kwa sababu nyie mmezidi na hayo mambo yenu , kila siku kulalamika , mnasema mnaonewa duniani kote , fujo nyie , magaidi , vita , ukatili na unyama , ujinga , na mengine ntazidi kuyataja. Huoni tu kuwa ni janga?Mawazo yako kutukana dinj za wenzako,wewe Una uhakika gani Kama dini yako ni bora zaidi ya mwenzako,ikiwa wote tumezaliwa na kuzikuta,Nani alimuona yesu au muhamadi zaidi kusoma vitabu.
Haya magazeti ya kufungia maandazi yanapaswa kufutwa kabisa na siyo kuyafungia! Watu wenye mitazamo ya kidini kwenye mambo yanayomhusu mama Tanzania hawapaswi kufumbiwa macho. Ni mapema sana kuanza kuingiza propaganda za kidini kwenye serikali ya Dr John Pombe Magufuli. Muwe na kumbu kumbu vizuri ninyi watu wakati wa mkapa mlilalamika sana sana, akaja kikwete mkawa kimya sasa ameingia Dr John Pombe magufuli mmeanza tena mapema kabisa wakati ndiyo kwanza amefikisha siku 102 tangu aingie madarakani. Mbona wakati Rais na makamu wake ni waislamu hamkulalamika wakati wa kikwete na Gharibu Bilali? Mimi nafikiri hawa wamekosa hoja za msingi za kusimamia inchi hii haina dini wala haiongozi kwa katiba za kidini na katiba yetu iko bayana kabisa pamoja na mapungufu yake mengi.View attachment 324013 View attachment 324014
Leo magazeti mawili ya "IMAAN" na "AL-HUDA" yamekuja na vichwa vya habari vinavyomuhusu aliyekuwa DG wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau kuwa anaonewa na kufitinshwa kwa kuondolewa kwenye sherika hilo la hifadhi ya Jamii wakati alikuwa amebakia miaka michache tu astaafu.
Gazeti hilo linasema licha ya uteuzi wa Dr Dau kuelezwa kuwa una tija kwa Taifa na kuimarisha uhusiano wa Tz na nchi za nje,lkn umedunisha uwakilishi wa Waislamu katika utendaji wa serikali hapa nchini.
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.
"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".Gazeti hilo limedai kama kumtumia kidiplomasia basi angetumiwa baada ya kustaafu lkn sio kumuondoa sasa,nafasi ambayo itakuwa ngumu kwa mtu mwingine kuziba pengo la Dr Dau,gazeti linaendelea kusema kuwa teuzi hiyo ni chuki dhidi ya imani fulani na kuwepo na hali ya kuimarisha mfumo ili imani fulani iendelee kuwa katika sehemu ya maamuzi.
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ambao walikuwa wafanyakazi wa muda wa viwanda vya sukari vikiwemo vikampuni na taasisi za watu binafsi,chini ya Dr Dau shirika lilifanikiwa kuwa na miradi mikubwa kama daraja la kisasa la Kigamboni,mradi wa makazi katika eneo la Dege Beach huko Kigamboni,mradi wa nyumba za Kiluvya,mradi wa nyumba za makazi za Mtoni Kijichi,Mradi wa kituo cha Michezo kwa Ushirikiano na Club ya Real Madrid na pia NSSF ilishiriki ktk ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma.Kutokana na ufanisi huu Rais Mkapa aliwahi mtunuku cheti cha usimamizi na utendaji bora ktk kipindi cha uongozi wake wa shirika hilo
Ukatoliki mpaka wajumbe wa Nyumba kumiTeuzi zote za Jk zilikuwa zinajadiliwa humu kidini, wacheni watu waseme ukweli, awamu hii ni awamu imejaa ukabila na udini uliopitiliza'
Ukatoliki mpaka wajumbe wa Nyumba kumiTeuzi zote za Jk zilikuwa zinajadiliwa humu kidini, wacheni watu waseme ukweli, awamu hii ni awamu imejaa ukabila na udini uliopitiliza'
Duh!! Kashakuwa gaidi??? Kisa anavaa kanzu? Sasa ndugu hapa si unajidhihirisha kabisa kuwa unamchukia kisa ni Muislam? Hoja zote za apelekwe Afghanistan sijui gaidi... ni nini kama sio kisa ni dini yake?Huo muda uliobaki akamalizie Saudi Arabia au Afghanistan eti kaitoa mbali nssf wamezoea kupeana kazi kwa kuangalia kanzu kama huvai kanzu na ninja nssf hata field hipati akafie mbali huyo gaidii
naanza kunusa harufu ya udini aliokuwa akipigiwa kelele,,inaonekana bila kuwa na majina yetu yale kupata kibarua hata cha kulinda nssf ilikuwa ni tatizoHuyu dau ni jipu alimzunguka msikitini kuomba support eti magufuli anamchukia hivyo atamuondoa nssf kwa visa.misikiti yote alipita akishirikiana na jamaa mmoja toka kondoa,taarifa zote jpm anazo,sasa ndo magazeti yanatafuta sympathy kwa jamii kwa mwavuli wa uislamu