johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,107
Naibu Waziri mkuu Dr Biteko amesema uchaguzi wa serikali za mitaa uko Karibu hivyo Wananchi wajipange kufanya uamuzi wa busara wa kuichagua CCM
Dr Biteko amewashukuru Wananchi wa Mbogwe kwa kuichagua CCM miaka yote, "Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake" amesisitiza Naibu Waziri mkuu
Chanzo: Upendo TV
Dr Biteko amewashukuru Wananchi wa Mbogwe kwa kuichagua CCM miaka yote, "Kule Bukombe tuliwahi kuchagua Wapinzani tunaelewa madhara yake" amesisitiza Naibu Waziri mkuu
Chanzo: Upendo TV