Dkt. Bashiru, usomapo andiko hili mara moja hapo Msibani kwa Ndugai, chukua hatua mara moja za kulinda uhai wako

Dkt. Bashiru, usomapo andiko hili mara moja hapo Msibani kwa Ndugai, chukua hatua mara moja za kulinda uhai wako

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Mzee, wewe ni moja ya watu muhimu sana waliobakia katika taifa hili tunapozungumzia suala la uzalendo.

Nimekuona hapo msibani kwa Ndugai, nashindwa kukutumia ujumbe wa SMS kupitia simu yako.

Jambo unalotakiwa kulizingatia sana sana: wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine, kama walivyomtafuta Mkapa ili kuwapata wengine.

Mzee, kuwa makini sana — ukijiachia tu, hatutakuwa nawewe kabla ya Oktoba.

Gari lako ulipoliegesha: vinywaji na chakula, migusano, n.k.

Ndugai mpaka kufikia juzi alikuwa mzima wa afya.

Uhai wake umekatishwa alipofika tu Dodoma.
 
Mzee ,Wee ni Moja ya Watu muhimu sana waliobakia katika Taifa hili tunapozungumzia Suala la UZALENDO.

Nimekuona Hapo Msibani kwa Ndugai , Nashindwa kukutumia Ujumbe wa SMS kupitia simu yako.


Jambo unalotakiwa Kulizingatia sana sana, Wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine kama walivyomtafuta Mkapa ili kuwapata wengine.



Mzee kua makini sana, ukijiachia tu Hatutakua Nawewe kabla ya Oktoba

Gari lako ulipoliegesha
Vinywaii na Chakula.
Migusano n.k.


NDUGAI MPAKA KUFIKIA JUZI ALIKUA MZIMA WA AFYA.

UHAI WAKE UMEKATISHWA ALIPOFIKA TU DODOMA .
Drama mongering
 
Mzee ,Wee ni Moja ya Watu muhimu sana waliobakia katika Taifa hili tunapozungumzia Suala la UZALENDO.

Nimekuona Hapo Msibani kwa Ndugai , Nashindwa kukutumia Ujumbe wa SMS kupitia simu yako.


Jambo unalotakiwa Kulizingatia sana sana, Wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine kama walivyomtafuta Mkapa ili kuwapata wengine.



Mzee kua makini sana, ukijiachia tu Hatutakua Nawewe kabla ya Oktoba

Gari lako ulipoliegesha
Vinywaii na Chakula.
Migusano n.k.


NDUGAI MPAKA KUFIKIA JUZI ALIKUA MZIMA WA AFYA.

UHAI WAKE UMEKATISHWA ALIPOFIKA TU DODOMA .
Bashiru huyu aliyesema mwaka 2020 hawawezi shindwa uchaguzi ilihali wana-dola leo amekua saviour
 
Mzee ,Wee ni Moja ya Watu muhimu sana waliobakia katika Taifa hili tunapozungumzia Suala la UZALENDO.

Nimekuona Hapo Msibani kwa Ndugai , Nashindwa kukutumia Ujumbe wa SMS kupitia simu yako.


Jambo unalotakiwa Kulizingatia sana sana, Wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine kama walivyomtafuta Mkapa ili kuwapata wengine.



Mzee kua makini sana, ukijiachia tu Hatutakua Nawewe kabla ya Oktoba

Gari lako ulipoliegesha
Vinywaii na Chakula.
Migusano n.k.


NDUGAI MPAKA KUFIKIA JUZI ALIKUA MZIMA WA AFYA.

UHAI WAKE UMEKATISHWA ALIPOFIKA TU DODOMA .
Siku yake ikifika atakufa tu acha ujuaji wako wa kijinga kwahiyo nyie FBI wa kiTanzania miakili yenu inawatuma Ndugai ameuawa? Acha upuuzi wako usio na miguu wala kichwa
 
Uache u
Mzee ,Wee ni Moja ya Watu muhimu sana waliobakia katika Taifa hili tunapozungumzia Suala la UZALENDO.

Nimekuona Hapo Msibani kwa Ndugai , Nashindwa kukutumia Ujumbe wa SMS kupitia simu yako.


Jambo unalotakiwa Kulizingatia sana sana, Wanamtandao wamemtafuta Ndugai ili kuwapata wengine kama walivyomtafuta Mkapa ili kuwapata wengine.



Mzee kua makini sana, ukijiachia tu Hatutakua Nawewe kabla ya Oktoba

Gari lako ulipoliegesha
Vinywaii na Chakula.
Migusano n.k.


NDUGAI MPAKA KUFIKIA JUZI ALIKUA MZIMA WA AFYA.

UHAI WAKE UMEKATISHWA ALIPOFIKA TU DODOMA .
jinga hapa bwana
 
Wasiwasi ndio akili ...hawa mbwea wanatafuta damu ya kila mtu sahivi ila nawasihi na wao wafanye kweli Msoga na kama ni ngumu wajaribu kurusha hata bomu Ili viremba nao wapate msiba kwenye kambi yao. Sahivi ni ama uanze wewe ama waanze wao ...hutakiwi kumuamini hata nzi akionekana kwenye shati lako
 
Back
Top Bottom