Fwambwa
Member
- May 31, 2018
- 51
- 10
Maamuzi haya yamenifurahisha sana,it wouldn't have been better.Tabia hii ya chama changu kuandamana na wasanii imeniumiza kwa miaka mingi sana.Ni jambo lililo wazi, kwamba the so called "wasanii," ni watu waovu sana, in every respect.Angalia huyo aliyeko jukwaani hapo,hivi mtu respectable anaweza kupenda kuwa na mahusiano au kuandamana na mtu kama huyo kweli.I don't think so.Msemo unaosema "watu hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana" ni wa kweli kabisa.Watu waovu wanapatana au hua wana andamana na waovu wenzao.Je,CCM ni ya watu waovu?You be the judge.CCM YASITISHA KUTUMIA WASANII WA BONGOFLEVA KWENYA MIKUTANIO YAKE: “Kuanzia sasa, CCM hatatumia wasanii wa Bongofleva kwenye mikutano…tutatumia bendi ya TOT, na tukienda mikoani tutawakuta wasanii wa nyimbo za asili,” Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru Ally.
Licha ya kupunguza gharama wakati wa kampeni Dkt. Bashiru amesema kwamba wasanii wa Bongofleva wamekuwa hawaandiki mashairi ya kuhamasisha umoja wa kitaifa.
“Mimi enzi zangu nilikuwa ninaimba sana mashairi kwenye shughuli za chama na nilikuwa ninafanya bila kulipwa, nakula tu ubwabwa basi, lakini kwa sasa ukimgusa tu msanii lazima ulete risiti ya madai,” alisema Dkt. Bashiru.
Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Chato, Geita - Septemba 20, 2015 - JamiiForums
CCM YAFUNIKA MKUTANO WA HADHARA MOROGORO JIONI HII ~ CCM BlogView attachment 852516
Nimecheka sana !CCM YASITISHA KUTUMIA WASANII WA BONGOFLEVA KWENYA MIKUTANIO YAKE: “Kuanzia sasa, CCM hatatumia wasanii wa Bongofleva kwenye mikutano…tutatumia bendi ya TOT, na tukienda mikoani tutawakuta wasanii wa nyimbo za asili,” Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru Ally.
Licha ya kupunguza gharama wakati wa kampeni Dkt. Bashiru amesema kwamba wasanii wa Bongofleva wamekuwa hawaandiki mashairi ya kuhamasisha umoja wa kitaifa.
“Mimi enzi zangu nilikuwa ninaimba sana mashairi kwenye shughuli za chama na nilikuwa ninafanya bila kulipwa, nakula tu ubwabwa basi, lakini kwa sasa ukimgusa tu msanii lazima ulete risiti ya madai,” alisema Dkt. Bashiru.
Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Chato, Geita - Septemba 20, 2015 - JamiiForums
CCM YAFUNIKA MKUTANO WA HADHARA MOROGORO JIONI HII ~ CCM BlogView attachment 852516
Hahahaha
Hahahaha
Afadhali Maana Mitusi imezidi kwenye manyimbo yao walahi!