Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Sasa hizo kazi za kuiba kura ili kupata ushindi ndo sifa hiyo?
 
Umeonaeeeeee?
CCM haijawahi kupata Katibu Mkuu mahiri zaidi ya Dk. Bashiru tangu baada Mzee Kawawa. Na bahati nzuri, ukweli huu unaoneshwa na wavimba macho wa upinzani ambao wanaijua kazi yake hasa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2020. Na hao ndio wanaoshangilia wakifikiria ya kwamba labda 2025 watapata unafuu.
 
Mitano tena kwake , yaani kashindwa kutumia dola kubaki Ikulu , hahaaa hatareeeee
 
Hhahahahahaha nimecheka mno..hahaaa kuna mtu alisema juz huyu kazi yake kuuliza maswali ya nyongeza jaman nilichekaaaaa🤣🤣🤣
Yani apo anasikia sauti nyororo ya madame Mama la Mama akisema ukinizingua tutazinguana!
Nina wasalimia kwa jina la Jamuhuri!
Mapigo ya moyo wake yana piga kama swala aliyeko kwenye mikucha ya chui!
 
Huu ni wakati wa kumpa maneno ya faraja kwa mamneno "hili nalo litapita".
 
Anaweza hata kujinyonga kwa sonona
Amepigwa comeback ya kisanga kutoka kuapishwa ubalozi sijui katibu kiongozi mpaka uchimba chumvi ni hatari mno Mazee huyo jamaa kuendelea kukomaa bungeni ni kiboko aisee sema akwende zake huko walikua wanaongea chochote na slow slow wake mpaka eti alinunua ubao kupiga hesabu za tofauti ya trillion 1.5 yaani wanatuona sisi makolo kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…