Hapo Bungeni akitulia atafanya mambo makubwa. Huyu ni mtaaluma wa Sayansi ya siasa achange vizuri akili yake yuko sehemu muwafaka kwa kujitengenezea mazingira mazuri ya kiuongozi.
Hapo Bungeni akitulia atafanya mambo makubwa. Huyu ni mtaaluma wa Sayansi ya siasa achange vizuri akili yake yuko sehemu muwafaka kwa kujitengenezea mazingira mazuri ya kiuongozi.
Yaani hapo anajiuliza...Mama kaniona mimi ni sawa na kina msukuma kweli? Au kaniona nafanana na Lusinde?...jamaa anahitaji uangalizi wa karibu anaweza kumfata mwendazake