Mi namsikia anasema tu Naniii,naniii,naniii,naniii,naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hata simwelewi.
Mi nikijilinganisha na huyu jamaa pamoja na wengne kadhaa wanaojiita madaktar najiona kama prof vile,sitanii
Mathayo ndie yupo leo ktk kipindi cha j3 hii.
haha kumbe haka kajaa ni katani kangu.Kanasema ukitoa ng`ombe mbali asana wanaweza shindwa mazingira..Sijui umbali ni issue gani wakati kinachoma matter ni climatical conditions.Maeneo ya kufanana yanaweza yakawa mbalia sana .Unaweza kuta hali ya hewa kama ya karatu, huko zambia na ng`ombe wakaishi.bahati mbaya nipo mbali na hiyo TV. Huyo Mathayo hana chochote cha kusema. Watu wake pale Makanya na Hedaru wanashindia miwa na mabuyu kwa njaa, halafu aje kubwabwanya hapo!!!!???
Hiki ni kati ya vipindi vya hovyo kabisa vinavyoendeshwa na ITV
Siku hizi sikiangalii kabisa, ni upuuzi mtutu na hasa presenta wake hajiamini kabisa