Mbona hizi ni kama vile pumba tupu?
Jamaa bado anajificha? kweli kilkuwa kipigo cha kutisha! Atarudia?
Sikubaliani na wewe, ni lazima aseme ukweli ili isije ikatokea tukasikia tena kirahisirahisi kwamba Radhia Sweety ameuawa msitu wa pande na watu wa Ikulu, kwasababu tu huwa anachangia kwenye mijadala ya JF against Serikali
Wewe unaweza kuziona pumba lakini ndio hivyo Dr Ulimboka mpaka kusema hakuna anayejua ukweli kuhusu yeye baada ya kusoma Mwahalisi na magazeti mengine...nyie si mnataka Dr Ulimboka aungane na kauli ya Kubenea na Mwanahalisi hiyo kauli ya Dr Ulimboka inafanya habari zote dhidi yake zinaonekana udaku tu.
Kwa nini tigo imefukuza wafanyakazi wake unataka kuniambia taarifa za mawasiliano zilizotolewa ni za uzushi?Kumbe hakuna anayejua chochote kuhusu Dr Ulimboka kutekwa anayejua ni yeye peke yake...kumbe Gazeti la Mwanahalisi linastahili kufungiwa kwa uchochezi, Kubenea acha kukurupuka Dr Ulimboka anawakana sasa...
R.I.P MWANAHALISI.
Kumbe hakuna anayejua chochote kuhusu Dr Ulimboka kutekwa anayejua ni yeye peke yake...kumbe Gazeti la Mwanahalisi linastahili kufungiwa kwa uchochezi, Kubenea acha kukurupuka Dr Ulimboka anawakana sasa...
R.I.P MWANAHALISI.
Mbona hizi ni kama vile pumba tupu?
Kumbe hakuna anayejua chochote kuhusu Dr Ulimboka kutekwa anayejua ni yeye peke yake...kumbe Gazeti la Mwanahalisi linastahili kufungiwa kwa uchochezi, Kubenea acha kukurupuka Dr Ulimboka anawakana sasa...
R.I.P MWANAHALISI.
huo ni woga wa kike hata kama wasipommaliza si ipo siku atamalizika tu bustaeee achana nao hao.unamtisha nani sasa?
hata wakimuua yanaweza kuwa makusudi ya mungu vile vile hakuna jambo zuri zaidi kwa sasa kama kuzunguza kilichotokea mbona mnaogopa sana kufa.kama akili yake inafanya kazi sawia,angenyamaza na kuendelea na shughuli zake na kumuachia mungu yote maovu aliyofanyiwa na aliyoyafanya tena anatakiwa amshukuru sana mungu kwa matendo yote aliyomtendea na akumbuke kabisa mungu ana makusudi fulani na yeye ama aishi ili aone matokeo ya yale aliyokuwa akiyatetea au ajutie matokeo ya yale aliyokuwa akiyapigania,pia akumbuke kipigo alichokipata katika hili la kutetea maslahi ya madaktari kama kuana impact yoyote katika jamii hasa wale wapendwa wao walioenda mbele za haki kutokana na harakati zake,lakini pia akumbuke kuwa serikali ina mkono mrefu zaidi ya wa kwake katika kuhakikisha kuwa watu wake wanaishi kwa amani pamoja na yeye na kufurahia uhuru wao.na pia akumbuke kuwa watesi wake hawakushindwa kumtoa uhai kabisa wangeweza kufanya hivyo pasipo shaka lolote,ila mungu aliweka mkono wake kuwaepusha wasifanye hivyo kwa sababu fulani ambayo mungu pekee ndiye anayoijua na bado wapo na wanaweza kutekeleza mpango wao saa yeyote kama wakiona siri zao zinatoka nje,na mwisho akumbuke kabisa kuwa maisha ni karama ya mwenyezi mungu anaweza kuchukua karama yake wakati na saa yeyote anapoitaka na hakuna anayeweza kumzuia na kuishi ni kutimiza matendo yale yanayompendeza mungu.tafakari chukua hatua.
Huyu naye angetulia zake tu huko aliko ili asilianzishe lingine litakalowaudhi watesi wake.
Kwa sasa anachoweza kufanya cha busara ni kumshukuru Mungu tu kwa kumponya na kifo ambacho kilikuwa dhahiri.
Unless ana hamu ya kumalizwa moja kwa moja, jambo la muhimu kwake kwa sasa ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine.
wakati mwingine ukikipenda kitu kiovu automatical unajikuta nawe unakua mwovu bila kujua macho anayo,masikio anayo,akili anazo lakini vyote havimsaidii sasa kama sio kufunikwa na uovu ni nini?kwa nini tigo imefukuza wafanyakazi wake unataka kuniambia taarifa za mawasiliano zilizotolewa ni za uzushi?
kinachosababisha nisione mantiki kwenye post yako ni kuwa, mtu akisema jambo alilofanyiwa na watu wengine ni siri yake haina maana kwamba hakuna mtu mwingine anayejua jambo hil. Maneno yako yalikuwa na maana kuwa iwapo ni dr Ulimboka tu ndiye anayejua kilichomtokea basi hata wale mahasidi wake waliomteka nao hawajui walilomfanyia, jambo ambalo ni wazi kuwa siyo la kweli. Iwapo usingeweka komment ya aina uliyoweka, ingesaidia sana kuficha upungufu huo wa maono kenye hiyo post.
Usimuwekee maneno mdomoni Dr Ulimboka alichosema na wewe unachosema ni tofauti, pitia tena vizuri hii thread, alichosema Dr Ulimboka kwa mujibu wa ili bandiko "Ukweli wa tukio lake anajua yeye mwenyewe" sio vitendo alivyofanyiwa kama unavyotaka kutuaminisha wewe.