mwambie aliyekutuma ailoweke akili yako kwenye jik ipate weupe wake wa asili! usitutafutie ban!
Akili yako haina tofauti na ile Mkurugenzi wa TAWLA. Anaacha kufanyakazi zinazoendana na kazi yake anajipendekeza kutafuta Mume, hivi hajui kuwa Ulimboka ana mke? Aje kwangu mimi Bachelor. Watoto wa kike wanaripotiwa kuozwa na wazazi wao na kuacha shule, Wanawake wanazalishwa na wanaume kuwakimbia, watoto wa kike wanabakwa. Hayo ndiyo yanahusu shughuli zake, badala yake anakimbili kuvaa mabango ya kumpokea Ulimboka ambaye ni janga kwa wagonjwa wa hali ya chini.