ccm wasipoangalia suala hili litaipaisha cdm!Huyu mzee vp,mara hana imani na polisi mara anataka polisi wafanye uchunguzi. Kwanini asisema kama hiyo video ni ya kweli au sio? Akae akijua jua kuwa hii video itaondoka na wengi.kama CCM ilikua inatafuta sababu ya kuwamaliza cdm basi hii sababu ni tosha kabisa
Hahaa.. Majebere, kama magamba mlidhani mmelamba dume kwa clip hii, Nasikitika kukutaarifu kuwa "mmebugi men'
What is a vadility?? Or are you confused yourself with realibility??kama huna jibu kaa kimya! Mkuu bado upo analojia,tatizo huwa mnatumia akili kidogo bila kujua nini kitatokea mbele.Sura sio ishu ila validity ya ile video.Ila sikulaumu sana kwa sababu wewe ni mtumwa wa akili zako mwenyewe
ccm wasipoangalia suala hili litaipaisha cdm!
Hivi kisheria ikithibitika sio kweli Lwakatare ana haki ya kudai fidia ya kusafisha jina lake,kama i ndio nani atalipa na inaweza ikarange shilingi ngapi?
Tunasubiri mbivu na mbichi zijulikane. By the way nina mashaka makubwa sana na hii video. Lakini muda utatupa majibu stahiki.
CDM jitahidini kuutambua ukweli wa jambo hili ili tuweze kuwa huru zaidi
Huyu mzee vp,mara hana imani na polisi mara anataka polisi wafanye uchunguzi. Kwanini asisema kama hiyo video ni ya kweli au sio? Akae akijua jua kuwa hii video itaondoka na wengi.kama CCM ilikua inatafuta sababu ya kuwamaliza cdm basi hii sababu ni tosha kabisa
Atakuwa na haki ya kudai fidia. Atadai kutoka serikali kwani hii ni kesi ya jamhuri. Kigezo cha fidia kitatokana na umaarufu wa Lwakatare, kwamba ni kiongozi wa kitaifa, hivyo anajulikana kitaifa na kimataifa, na hivyo atahitaji kusafishwa kitaifa na kimataifa.
well said mkuu hapo kwa blue ndipo hasa naona palipotumika jana nilipopitia Jf nilikuwa na simu nikasiliza lakin sikuelewa vzur nikapanga nikirud home ntasiliza tena ntaweka subwoofer ili nisikie vizur, kinachonifanya niwe dilema ni muktadha/mazingira ya kupanga insh nzito kama hii rough sana na tena aliyrekod hiyo video isitoshe ndo huyo aliye upload hii video!!!
Sorry for that,I meant validity.sipo kwa ajili ya ubishi wala ushabiki ila kupata elimu,kusema sura ndio ushahidi mkuu nakupinga.Hata mtu yeyote mwenye akili atakupinga.Nisikuudhi maana inaonesha you are too emotional!What is a vadility?? Or are you confused yourself with realibility??
Huyu mzee vp,mara hana imani na polisi mara anataka polisi wafanye uchunguzi. Kwanini asisema kama hiyo video ni ya kweli au sio? Akae akijua jua kuwa hii video itaondoka na wengi.kama CCM ilikua inatafuta sababu ya kuwamaliza cdm basi hii sababu ni tosha kabisa
Wewe chizi kweli....unataka kithibiti zaidi ya sura na maneno yake....Wauwaji WAKUBWA nyie...Bado na mabosi wenu
Asante mkuu kwa kunielewesha.Atakuwa na haki ya kudai fidia. Atadai kutoka serikali kwani hii ni kesi ya jamhuri. Kigezo cha fidia kitatokana na umaarufu wa Lwakatare, kwamba ni kiongozi wa kitaifa, hivyo anajulikana kitaifa na kimataifa, na hivyo atahitaji kusafishwa kitaifa na kimataifa.