Chiya Chibi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 484
- 110
Hakuna ukomboz usio na vikwazo.
Dhuluma, uonevu, hofu, hakuna wa kumwamin, ulemavu wa kudum, damu kumwagika, KIFO n.k. Hiv ni vitu ambavyo hutokea nch ikiwa kwenye tishio la kubadil uongoz/ utawala ama pale maslah ya watu wazito (mafisad) yanapotishiwa.
Mwananch ndo huamua uamuz wa kweli na wa kudumu.
Tuwe makin sana kusikiliza, kutafakar na kuamua.
Dhuluma, uonevu, hofu, hakuna wa kumwamin, ulemavu wa kudum, damu kumwagika, KIFO n.k. Hiv ni vitu ambavyo hutokea nch ikiwa kwenye tishio la kubadil uongoz/ utawala ama pale maslah ya watu wazito (mafisad) yanapotishiwa.
Mwananch ndo huamua uamuz wa kweli na wa kudumu.
Tuwe makin sana kusikiliza, kutafakar na kuamua.