Dk Slaa Mbumbumbu - Kamala

Nimeshajua kwanini waganda-kyaka(mojawapo ya jamii za kihaya) wa Nkenge kule wilayani Misenyi walimkataa Kamala...... Ni mbumbumbu saaaaana..... Naamini wataalamu wa CHADEMA watamjibu utumbo wake........
 

kwanza kabisa dr kamala ni miongoni mwa mafisadi wa elimu waliotajwa na msemakweli. Na katika kuthibitisha kuwa yeye ndio mbumbumbu gharama za usafirshaji hapa nchini zinakuwa za juu kiasi hicho kkutokana na sera za ccm kuua reli na hivyo wasafirishaji kulazimika kutumia usafiri wa magari amabo una ghrama za juu. Haya ndio mamabo ambayo dr slaa anataka kuyaondoa akifanikiwa kupata urais. Sasa kama dr kamala anashindwa kutambua kuwa usafiri wa reli ni gharama nafuu kuliko barabara na kuishauri ccm yake hivyo, atawezaje kutushawishi watanzania tumuamini? Inabidi dr kamala arudi shule ili kujiondolea ufisadi wa elimu ndipo ajitokeze kuzungumza na wasomi wa kweli kama dr slaa.
 
.....Heko JK kwa uwezo wako wa kuzima moto unaoendelea kukuteketeza kwa kutumia makada maboya kama Dr. Kamala.....Nafuu yako ni kwamba wakati wa kujibu mapigo goodwill yako haitazidi kuporomoka (na kwahiyo hutazidi kupoteza kura) kutokana na ustadi wako kujiwekea shield kwa kutumia vilaza type ya Dr. Kamala.....maana iwapo hoja itaonekana dhaifu wa kuchafua jina zaidi ni Dr. Kamala na wala si JK!!!!!

Bob Marley aliishaimba wimbo wenye verse hii " I shot the sheriff but I did'nt shoot the deputy" ambao unaonyesha fedheha atakayopata Dr. Kamala endapo hoja zake zitagaragazwa kwa kutumiwa vibaya na wachumia tumbo wa CCM!!!!! Atakaye aibika ni Dr. Kamala(Sheriff) lakini JK(Deputy) atabaki salama.....

Wanasiasa msikubali kutumiwa kichwakichwa hivyo...... Kamala alitakiwa ajiulize kwanini Mustapha Mkulo(waziri wa fedha na uchumi) hakujitokeza kujibu mapigo hayo!!!!! Au waziri mkuu, Mizengo Pinda hashiriki wazi wazi katika kampeni za uraisi pamoja na kwamba yeye ni mojawapo ya wanasiasa wa CCM ambao walau wana usafi unaoonekana dhahiri.... Hawa wanajua vyema kusoma alama za nyakati!!!!!!!!

 
Hivi Dr Kamala ni daktari wa mitishamba au wa falsafa? Ndiyo maana alishindwa kwenye kura za maoni. Dr Slaa akiwa mkuu wa nchi anahaki ya kupendekeza mabadiliko ndani ya EAC kupitia bunge lake. Kamala anyamaze kwa kuwa mawazo ya serikali yake si mawazo ya serikali ya DR SLAA.
 
Jamani Kamala si ndio mwenye Vyeti fake vya udoctorate ? Na si ndio huko kwao wamemwaga? Sasa hajiulizi kwa nini wanachi tu wa kawaida wamempiga chini kabla ya kubwatuka batuka? Ujinga ni ujinga tuuu hata ukiwa mjanja wa macho.
 
Duh!huyu Mr kamala fisadi wa elimu naye anajipya?mara ya kwanza alimpinga Dr slaa basing on mkataba ya Jumuiya ya Afrika mashariki.Sasa amehamia kwenye gharama za usafirishaji!huyu jamaa ni mjinga sana ndiyo maana hata NKENGE walimshitukia.shame upon you Mr Kamala
 
Mimi nafikiri kamala hazimtoshi, kwanza ingekuwa busara akajiuliza kwanini kwao amekataliwa?, na isitoshe nina wasiwasi na elimu yake.
 
Hoja imeshindwa kujibiwa kazi ipo!!!!!!!!!!!
Wajinga ndio waliwao
 
Umbumbumbu wa Kamala ndio mkubwa zaidi. Si ndo huyu kachakachua digrii yake na kujipa PhD feki? Hivi si alisema anakwenda mahakamani kumchitaki Msemakweli? Kaishia wapi? Nd sababu kamwagwa kwenye kura za maoni.
 
WanaJF,

Shule na vyeti haviongezi akili kichwani bali hunoa akili ilyopo!
Kama huna akili hata usome shule zote duniani na upate vyeti vyote ni BURE tu!
 
Huyu ni mtoto sana kwa Dk. Slaa na hana uzoefu wa kazi katika nyanja ya uchumi.
 

There's no other name for facts.
 
kamala si jinga la kwanza mpaka hajui wapi pa kutokea.....yeye hajui kwa nini tunataka mabadiliko richmond,EPA na mikataba hewa bado tunaumia kichwa kwa nini tuendelee kuipenda ccm majambazi....wezi kwa pesa zetu hasa kikwete na familia yake makamba,kinana,lowassa,sumaye na change,mramba......tukiwaondoa kisha tuwafunge ili iwe fundisho kwa wengine wala uchumi wa nchi...kazi wanayo tuwalinde wasikimbie nchi
 
ndo maana alianguka ubunge huko kwao nkenge.hafai huyu dr.feki!
 
cHA AJABU CCM MPAKA LEO HAWAJAGUNDUA KWANINI WANACHUKIWA NA WANANCHI, UFISADI UMETAFUNA NCHI!
 
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?


Kibunango, Dr. Slaa angekuwa mbumbumbu mamilioni ya WATANZANIA wasingemkubali na juu ya yote nyie asingewakosesha usingizi kama mnavyohaha hovyo wakati huu!!
Huyu bwana ni makini na anajua anasema nini, huwezi kumfananisha na jamaa yenu hajui hata sababu ya nchi anayoitawala kwanini ni maskini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…