Dk Slaa azindua kampeni Kalenga

Dk Slaa azindua kampeni Kalenga

Wana Kalenga nao wanahitaji Chopa msiwabague Mbona Arumeru mlizipeleka! Slaa Leo anahubiri Uchaguzi wa Amani baada ya Dkt Jakaya kututaka kuacha Unyonge, Hongera Jabali la Siasa za Tanzania Mtukufu Dkt Jakaya Kikwete.

hapa ndiyo umeandika nini sasa ? Kumbe ndiyo maana siku hizi wanawake wengi wanaachwa !
 


"Yeye ndani ya kamati yupo peke yake na wengine wote ni CCM, tutahakikisha anawashinda, wakimshinda sisi tutatoka nje,"alisema Dkt Slaa.


Tulidhani atasema wakimshinda wao hawatachukua hizo zilizoongezeka, Siasa hizi za kitoto ndio zinazowafanya wananchi walaidhibu hili genge la wahuni kwenye sanduku la kura kama walivofanya kwenye uchaguzi uliopita, Unaogopa nini kusema sisi Zikiongezeka hatutachukua Ziada, Mbona Zitto kishatangaza msimamo wake Mapema kuwa Nyongeza haitamhusu Ikiongezeka.





 
Wana Kalenga nao wanahitaji Chopa msiwabague Mbona Arumeru mlizipeleka! Slaa Leo anahubiri Uchaguzi wa Amani baada ya Dkt Jakaya kututaka kuacha Unyonge, Hongera Jabali la Siasa za Tanzania Mtukufu Dkt Jakaya Kikwete.
Subiri, mgwa kidulisanga! Muhuse chris mnya ku landani.Wewe twiva baha.Kamanda Grace piga mzigo tupo pamoja hapa Kalenga hapiti mtu zaidi yako!!
 
hapa ndiyo umeandika nini sasa ? Kumbe ndiyo maana siku hizi wanawake wengi wanaachwa !


Josephine Mushumbuz aliachwa au aliporwa? Mukya nae aliachwa? Wana Kalenga wanauliza Vipi Chopa zitaenda Kalenga au somo la kata 24 limewaingia?
 
Subiri, mgwa kidulisanga! Muhuse chris mnya ku landani.Wewe twiva baha.Kamda Grace piga mzigo tupo pamoja hapa Kalenga hapiti mti zaidi yako!!

Zimeshindwa Chopa seuze kiluga!! Hii ndio spidi ya CCM mpaka 2015!
 
Toa hoja zenye tija nasi kutamka ya binafsi ambayo viongozi wako wa ccm wao wanaambukiza wanafunzi ukimwi nk,
 
Wewe kweli buku 7 na kipofu.Siku ulipobahatika kufungua macho kitu ulichokiona ni chopa, ndo maana kila kitu lazima uhusishe na chopa! Haya lete story ila usisahau kile kibwagizo chako maarufu Chopa! Ukisahau bk 7 leo hupati.
 
huyu mama grace yuko chini ya uangalizi wa hawa viongozi wa chadema:
1. lema- mbakaji wa dada flora wa uk.
2. slaa- mporaji mke wa mtu bi. josephine mushumbus. ametelekeza mke na watoto.
3. mbowe- anazini na mbunge wake wa viti maalum mpaka kazaa nae. ametelekeza mke wa ndoa na watoto.
JE, huyu mama yuko salama kweli?
wewe uko salama????
 
Salome uliiba dvd zetu lini utarudisha? Na mataulo uyarudishe ata km umeamia chama cha majizi ccm jua tutakukamata tu...
 
Salome uliiba dvd zetu lini utarudisha? Na mataulo uyarudishe ata km umeamia chama cha majizi ccm jua tutakukamata tu...

'....Uvumilivu Una mwisho, wana CCM acheni unyonge.....' Rais wa Dkt Slaa
 
Dada Salome vipi bk 7 zimeisha? Mbona kimya au ndo ule usemi wa ngoma ya watoto haikeshi?
 
[/B]

Josephine Mushumbuz aliachwa au aliporwa? Mukya nae aliachwa? Wana Kalenga wanauliza Vipi Chopa zitaenda Kalenga au somo la kata 24 limewaingia?

Wana Kalenga wengine wanauliza kwanini Slaa haponi mkono wake? Au ni pigo la mwenyezi Mungu kwa kuwa anaendekeza zinaa?
 
Hakuna utawala wa milele hapa. Wana kalenga wanalifahamu hili. Nzogwe molimoli.
 
.....

Magamba lazima ya pukutike
 

Attachments

  • KALENGA.jpg
    KALENGA.jpg
    149.5 KB · Views: 771
Dada Salome vipi bk 7 zimeisha? Mbona kimya au ndo ule usemi wa ngoma ya watoto haikeshi?

Umeonaeee! Waambieni wakubwa zenu, kama kura zingekuwa zinapigwa na kunguru basi Chopa zingesaidia!
 
huyu mama grace yuko chini ya uangalizi wa hawa viongozi wa chadema:
1. lema- mbakaji wa dada flora wa uk.
2. slaa- mporaji mke wa mtu bi. josephine mushumbus. ametelekeza mke na watoto.
3. mbowe- anazini na mbunge wake wa viti maalum mpaka kazaa nae. ametelekeza mke wa ndoa na watoto.
JE, huyu mama yuko salama kweli?

Thibitisha kauli yako au uifute. Inawezekana umezoea kutukana na kuwakashifu watu hovyo bila kujali. Kwa hii comment yako ITAKUGHARIMU.
 
huyu mama grace yuko chini ya uangalizi wa hawa viongozi wa chadema:
1. lema- mbakaji wa dada flora wa uk.
2. slaa- mporaji mke wa mtu bi. josephine mushumbus. ametelekeza mke na watoto.
3. mbowe- anazini na mbunge wake wa viti maalum mpaka kazaa nae. ametelekeza mke wa ndoa na watoto.
JE, huyu mama yuko salama kweli?
Ivi siasa za maji taka bado magamba wanazitumia?
 
Back
Top Bottom