Mkuu Hard Hitter
Hapo umekandamiza ikulu, Hawa watu wakijani na Njano wao wanachojua ni ulaghai wa ahadi, lakini cha msingi na muhimu kwa watanzania wote kujua ni kwamba muda wa ahadi zisizotekelezeka umepita, Waliovijijini ndo hudanganyika sana kwa hiyo ni vema wakapewa somo mapema na kuwa macho na wadangayaji hawa.
Hapo umekandamiza ikulu, Hawa watu wakijani na Njano wao wanachojua ni ulaghai wa ahadi, lakini cha msingi na muhimu kwa watanzania wote kujua ni kwamba muda wa ahadi zisizotekelezeka umepita, Waliovijijini ndo hudanganyika sana kwa hiyo ni vema wakapewa somo mapema na kuwa macho na wadangayaji hawa.