Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
My point ni kwamba anatuchosha na ishu zake za maswala ya ufisadi! Atafute strategy nyingine ya kutokea! Haoni wenzake akina Zitto, Lissu wanavyojitahidi kujenga hoja na kuja na mambo mapya?Kazi kuu ya UPINZANI ni kupinga serikali pale inapofanya vibaya. Serikali imeshindwa kusimamia vizuri utendaji wa Jeshi la Polisi. Kwanini UPINZANI usishutumu hilo? Kama UPINZANI unashutumu serikali kila siku ni kwa sababu serikali hii ya sasa inafanya makosa kila siku.Ama unashangaza. Zitumike vibaya shilingi bilioni 220 kisha usitake Slaa ashutumu? Unaelewa kweli shilingi bilioni 220 zilivyo nyingi? Ni fedha za kutosha kujenga madarasa 22,000 ya gharama ya shilingi milioni 10 kila moja!Ni huu wizi wa kila siku wa vigogo wa CCM ndio umefanya Tanzania tukawa wa mwisho sana kwenye vitu kama Elimu hapa Afrika Mashariki. Soma takwimu hizi hapa chini kama hutakasirika na kuishutumu serikali kama anavyofanya Slaa.According to the Ministry of Education and Vocational Training statistics, Tanzania secondary school gross enrolment rates stand at five per cent while Kenya stands at 26 per cent, Uganda 12 per cent, Zambia 28 per cent and Zimbabwe 44 per centhttp://www.theeastafrican.co.ke/news/Tanzania+seeks+science+and+maths+teachers+from+EA/-/2558/1185108/-/item/1/-/11h4719/-/index.html