Mkodoleaji
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 458
- 138
|
| |
|
|
| |
|
Huyu slaa kila siku ni tuhuma tu! Hana kitu kipya cha kutueleza wananchi?
Huyu slaa kila siku ni tuhuma tu! Hana kitu kipya cha kutueleza wananchi?
acha kaul mfu,watawala wanakwepa majukumu yao kwa undumilakuwil ulowajaa vichwan mwao.Dr Slaa ananena ukwel,CAG alitaka ufafanus toka serikalin had leo kimya,je kwan wanampa majukumu huku wanaogopa maumivu?achanen na unafik nchi ina hal mbayaHuyu slaa kila siku ni tuhuma tu! Hana kitu kipya cha kutueleza wananchi?
Ishu za misikiti zinatoka wapi? Wewe fahamu jamaa kaishiwa hoja! Hana jipya! Kila siku ufisadi ufisadi!Lazima utaponda tu kwakuwa zinawasaidia kujenga miskt. Kwani unataka uhalalishe wizi kwa jeshi linalohangaika kusema intelijensia kila siku nakusindikiza misafara ya mahindi nje ya nchi?Yawezakana zinzfznyz biashara ya mahindi huko holili
wewe unataka aisifiee kwa lipi kunyanyasa wananchi we kibaraka kaa pembeni usawa mbaya huu , hiyo amani mnayotudanganya nayo mwisho wenu magamba umefika.
Ishu za misikiti zinatoka wapi? Wewe fahamu jamaa kaishiwa hija! Hana jipya! Kila siku ufisadi ufisadi!
ufisad umeisha tz?fikir kabla ya kutenda,una maslah na ufisad ndo maana unajambajamba tu.Ishu za misikiti zinatoka wapi? Wewe fahamu jamaa kaishiwa hija! Hana jipya! Kila siku ufisadi ufisadi!
Huyu slaa kila siku ni tuhuma tu! Hana kitu kipya cha kutueleza wananchi?
Ina maana huoni mazuri ya serkali yetu! Kuna vya kupinga lakini siyo kila kituUnataka serikali isifiwe kwamba imefanikiwa ili iweje? maendeleo ni haki yetu na ni wajibu wetu. Kama hatujafanyikiwa basi tunapaswa kujilaumu.
Hatuwezi kusema ueisha, lakini Serikali ni makini na inalishughulikia hilo swala! Umeona suala la mafisadi lilivyoshughulikiwa! Tumeona watu wakiwajibishwa. Tumeona watu tena waliokuwa viongozi wakubwa serikalini wakipelekwa mahakamani.ufisad umeisha tz?fikir kabla ya kutenda,una maslah na ufisad ndo maana unajambajamba tu.
Ina maana huoni mazuri ya serkali yetu! Kuna vya kupinga lakini siyo kila kitu
we unataka uelezwe kitu gani jambo la upotevu wa 220bn unaona ni kitu kidogo, hawa vijana wa nape vp? ebo!Huyu slaa kila siku ni tuhuma tu! Hana kitu kipya cha kutueleza wananchi?