Dkt. Magufuli anahudhuria mazishi ya mtoto wa rafiki yake kipenzi na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga aitwaye Fidel Odinga yanayofanyika huko Bondo, Kisumu, Kenya.
Dk.Magufuli aliguswa na msiba huo wa Fidel Odinga aliyekuwa rafiki mkubwa wa familia.
Aidha inataarifiwa kuwa Dk.Magufuli ataiwakilisha serikali ya Tanzania kuhudhulia msiba huo.
View attachment 217440
Dk.Magufuli akisalimiana na Fidel Odinga enzi za uhai wake pembeni ni Ida Odinga mama Mzazi
Dk.Magufuli akiongonzwa na Mwenyeji wake Raila Odinga alipokuwa anawasili
Dk.Magufuli akionyeshwa mwili wa Fidel Odinga
Raila Odinga akifanya sara ya kuomba
Dk.Magufuli akifanya sala ya kuomba
Morgan Richard Tsvangirai X-PM Zimbabwe
Mjane wa Milton Obote
Kushoto Kalonzo Musokya aliyewahi kuwa makamu wa pili wa Rais Kenya
Nitawajuza zaidi kadri taarifa nitakavyozipata.
RIP Fidel Castro Odinga
Source: Own Source
Dk.Magufuli aliguswa na msiba huo wa Fidel Odinga aliyekuwa rafiki mkubwa wa familia.
Aidha inataarifiwa kuwa Dk.Magufuli ataiwakilisha serikali ya Tanzania kuhudhulia msiba huo.
View attachment 217440
Dk.Magufuli akisalimiana na Fidel Odinga enzi za uhai wake pembeni ni Ida Odinga mama Mzazi
Dk.Magufuli akiongonzwa na Mwenyeji wake Raila Odinga alipokuwa anawasili
Dk.Magufuli akionyeshwa mwili wa Fidel Odinga
Raila Odinga akifanya sara ya kuomba
Dk.Magufuli akifanya sala ya kuomba
Morgan Richard Tsvangirai X-PM Zimbabwe
Mjane wa Milton Obote
Kushoto Kalonzo Musokya aliyewahi kuwa makamu wa pili wa Rais Kenya
Nitawajuza zaidi kadri taarifa nitakavyozipata.
RIP Fidel Castro Odinga
Source: Own Source
Last edited by a moderator: