Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 586
huyu si mwingine naye ni Dkt Kijaji naibu waziri wa wizara ya fedha na mipango, ametabanaisha usomi wake leo alipokuwa akijibu swali la mbuge wa viti maalumu Mh, Faida Mohamed Bakar aliyeuliza swali la kwamba kwanini serikali isingilie kati masuara ya riba zinazotozwa na taasisi za kifedha yakiwemo mabenki na microfinance?,
Dkt Ashatu kijaji kwa umahiri mkubwa alijibu swali hilo kwa kusema "kuwa serikali haiwezi kuingilia masuara hayo kwakua ilishakwisha kujitoa moja kwa moja kwenye shughuli za kifedha toka mwaka 1991 ili kuruhusu ushindani huru wa kuboresha huduma katika sekta ya fedha , hivyo viwango vya riba vinavyotozwa na taasisi za kifedha hupangwa kulingana na nguvu ya soko , pamoja na gharama za upatikanaji wa fedha halikadhalika gharama za uendeshaji na sifa za mkopaji".
my take , hawa ndiyo wasomi watakaoisaidia serilikali yetu kwenda mbele zaidi nadhani hata angeulizwa kuhusu suala la upatikanaji wa sukari angekuwa na maelezo ya kina.
HEKO DKT KIJAJI HONGERA SANA .
Dkt Ashatu kijaji kwa umahiri mkubwa alijibu swali hilo kwa kusema "kuwa serikali haiwezi kuingilia masuara hayo kwakua ilishakwisha kujitoa moja kwa moja kwenye shughuli za kifedha toka mwaka 1991 ili kuruhusu ushindani huru wa kuboresha huduma katika sekta ya fedha , hivyo viwango vya riba vinavyotozwa na taasisi za kifedha hupangwa kulingana na nguvu ya soko , pamoja na gharama za upatikanaji wa fedha halikadhalika gharama za uendeshaji na sifa za mkopaji".
my take , hawa ndiyo wasomi watakaoisaidia serilikali yetu kwenda mbele zaidi nadhani hata angeulizwa kuhusu suala la upatikanaji wa sukari angekuwa na maelezo ya kina.
HEKO DKT KIJAJI HONGERA SANA .