Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wakati waziri wa miundo mbinu abatarajiwa kukutana na wanakamati wa bnunge kuelezea kuhusu atcl,ni wakati muafaka kwa dk Kawambwa kuwaleza watanzania zaidi ya million 35 ile ripoti ya tume alioiunda ikiongozwa na prof mshoro wa ardhi majibu ya ko wapi??nani walihusika kuimaliza atcl mpaka ikashindwa kuendelea kuruka ama kusimamishwa???nafikiri imefika wakati sasa rais aache kuchagua majina kwa kuangalia undugu huyu mjomba wa rais anaicost sana serikali na uchafu wake,..TRL anajua anachopata,ATCL anajua anachopata,...
jamani wale watu wa tume ya mshoro walikuwa wanalipwa
1)usd 300 daily
2)walipewa laptop kila mmoja
3)na ka kadi cha comp zain imejaa sh 400,000 alfu
4)mafuta ya sh 50,000 kila mmoja daily wakiamini watakuwa na mzunguko
5) inatisha wacha tuishie hapa bado huyuw aziri asie na adabu ataki kueleza nani walihusika na uchafu wa atcl pamoja napesa zote walizotumia....
Huyu ni mmoja wa wanaotakiwa kufukuzwa kabisa kwenye hii wizara,..ujomba nization tatizo tupu......
jamani wale watu wa tume ya mshoro walikuwa wanalipwa
1)usd 300 daily
2)walipewa laptop kila mmoja
3)na ka kadi cha comp zain imejaa sh 400,000 alfu
4)mafuta ya sh 50,000 kila mmoja daily wakiamini watakuwa na mzunguko
5) inatisha wacha tuishie hapa bado huyuw aziri asie na adabu ataki kueleza nani walihusika na uchafu wa atcl pamoja napesa zote walizotumia....
Huyu ni mmoja wa wanaotakiwa kufukuzwa kabisa kwenye hii wizara,..ujomba nization tatizo tupu......