Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
Kawaida wananchi tunawakilishwa bungeni na waheshimiwa wabunge, lakini pia namna gani mbunge anatuwakilisha huko bungeni, inabaki kuwa ni kitendawili.
Mh. Dr. Shukuru Kawambwa, ninachukua fursa hii kujiwakilisha mwenyewe:
Swali: Je iko ile ripoti ya Prof. Kashoro juu ya ATCL? Unakumbuka kuwa ulisema utaitisha kikao na waandishi wa habari mara tu tume ya Kasoro itakapomaliza kazi yake? Je, umeshafanya hivyo au ni lini utafanya hivyo?
Mh. Dr. Shukuru Kawambwa, ninachukua fursa hii kujiwakilisha mwenyewe:
Swali: Je iko ile ripoti ya Prof. Kashoro juu ya ATCL? Unakumbuka kuwa ulisema utaitisha kikao na waandishi wa habari mara tu tume ya Kasoro itakapomaliza kazi yake? Je, umeshafanya hivyo au ni lini utafanya hivyo?