Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
...labda na Kikwete atakubali hivi karibuni kwamba Ikulu yake inanuka rushwa na inaongoza kwa kupokea rushwa kuliko taasisi yoyote ile nchini.
Serikali nzima inanuka rushwa. Mfumo mzima JK aliorithi toka kwa Mkapa na kuuendeleza na kuweka wake ndo shida ilipoanzia. Sasa hivi watu wanakimbilia serikalini kwasababu nje ya mapato yao halali kuna rushwa na upigaji kibao.
Takukuru ni sehemu ya serikali ya JK kwahiyo usitegemee miujiza ya wao kufanya vyema. Takukuru na system nzima haisafishiki hadi uingie utawala mwingine mpya na kusafisha uozo wote wa ccm.