Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 903
- 1,175
Huyu jamaa ni kama anataka kumchafua Dk Edward Hosea how for the last twenty years akae kimya, Kwenye ripoti ya Wikileaks Dr Hosea alinukuliwa akisema uongozi wa juu ulikuwa unamzuia katika kampeni dhidi ya Rushwa.
Ninashauri uongozi wa magazeti ya Jamhuri muwe makini kukubali kuchapisha majungu bila nyie kufanyia utafiti wa kina
We unamwamini zile zilikuwa soga za Hosea na mzungu ili yeye aonekane msafi na JK ndio anyemzuia ila hamna kitu wote walikuwa vibaka na wapiga dili ukitaka kujua madudu yanayofukuliwa sasa kama kweli kulikuwa na kiongozi imara haya madudu yote asingevumilia angeomba hata kujiuzuru ndio tungeona kweli alikuwa msafi lakini dili zote zinapigwa tena chini ya kiti chake mwenyewe.