Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,875
Ndugu zanguni habarizini za weekend \najua wale wa masaki sasa wako na kelele za gbisto,na nyingine nyingi
nimewiwa kuuliza dk wetu cyril nini kimemsibu
afya yake inatia huruma jamani amekuja aikumsindikiza mgen nikahisi maumivu ya tumbo..nafika nyumban leo naona kahudhuria mikutano kama miwili mitatu just kwa leo ila ukiona kwa nyuma nywele kama zinanyonyoka jamani na yale makoti kama yamemvika...kama ana weza kuomba kupumzika hii ni ushauri kwa ndugu wa karibu akapumzika kupisha wenye nguvu ..keskerli vinginevyo mahudhurio ya mikutani mitatu kwa siku mtamuua mzee wetu jamani
nimewiwa kuuliza dk wetu cyril nini kimemsibu
afya yake inatia huruma jamani amekuja aikumsindikiza mgen nikahisi maumivu ya tumbo..nafika nyumban leo naona kahudhuria mikutano kama miwili mitatu just kwa leo ila ukiona kwa nyuma nywele kama zinanyonyoka jamani na yale makoti kama yamemvika...kama ana weza kuomba kupumzika hii ni ushauri kwa ndugu wa karibu akapumzika kupisha wenye nguvu ..keskerli vinginevyo mahudhurio ya mikutani mitatu kwa siku mtamuua mzee wetu jamani