Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Dk. Bashiri Ally, wewe ni Mwalimu wangu wa siasa ya sayansi pale UDSM na ulinipenda sana kwa hoja zangu. Uliwahi kusema darasani, ,"politic is dynamic". Somo hili ulilikuza sana kwetu hata kama haina mantiki yoyote kwa siasa za Afrika.
Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.
Dk. Bashiru kama kweli ni mhafidhina naomba umsaidie Samia kwa kuweka hadharani Ile ripoti ya Mali za CCM iliyokupa u-SG Kwa Magufuli. Ripoti hii unayo nyumbani kwako ila unalazimisha ikae kwa "housegirl" Hanifa na hutaki ijulikane. NINAYO.