Dk. Bashiru Ally: Nape, Bashe wanahitaji kupikwa

Dk. Bashiru Ally: Nape, Bashe wanahitaji kupikwa

Sera ya chama kimoja yaani Ukomunist ktk zama hizi ambazo hiki chama changu hakikotayari ni vile ni kulishwa kisichopendwa ili kuupata uasi halisi katika siasa za kuogopa hoja wakati inatakiwa ijibiwe kwa hoja pasipo kutunisha misuli hata Savimbi , John Ngarah na Alfonce Jakama wa Msumbiji hizo zilikuwa ni zama zao kwani hayo hayawezekani kwa sasa hizi ni zama mpya ktk kizazi kisichoambiwa subiri wakati subira sio faida ni hasara na hiyo hasara nani anahitaji kwa wakati huu
Hicho chuo cha ccm kitakuwa kinafùndisha ujinga na uzuzu
 
Dr. Bashiru hawezi kumfunza Nape.
Nape ni maana siasa zaidi kuliko huyo Dr.
 
Kwa CCM ya wahuni ya hawa akina Polepole nani anaeweza kumtengeneza Nape hata kama ana mapungufu yake..??

CCM yote ya sasa imejaa wahuni.
hahahaha hicho ndio chama tawala..upende usipende..mtasubiri sana labda mwaka 2100 jaribuni tena..nawashauri msigombee urais mwaka ujao kwasababu mtaaibika sana.. na wananchi ndio wanaamua sasa kwamba ccm iendelee kuongoza..labda wewe nyumbani kwako pekeyenu..namaanisha wewe, mmeo, na watoto
 
hahahaha hicho ndio chama tawala..upende usipende..mtasubiri sana labda mwaka 2100 jaribuni tena..nawashauri msigombee urais mwaka ujao kwasababu mtaaibika sana.. na wananchi ndio wanaamua sasa kwamba ccm iendelee kuongoza..labda wewe nyumbani kwako pekeyenu..namaanisha wewe, mmeo, na watoto
Kumbe hata wee popoma ni muhuni wa CCM!!
 
EE0A4647-AB77-4846-A09A-2D650D96CCA4.jpeg


Kwangu naona ni kejeli kwa Kinana.

Bashiru, nikukumbushe usingekuwa ulipo kama si Kinana! Na nikufahamishe tu, Nape anajua mengi kuliko udhaniavyo.

Fikiria:

> Mjumbe wa NEC Taifa miaka 15 mfululizo

> Mjumbe wa Kamati Kuu - Miaka 6

> Afisa wa Chama Makao Makuu miaka 17

> Mkuu wa Wilaya, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Mbunge, Waziri....

Bado unaweza kuja na kauli kuwa Nape hajapikwa!?

d4426ed1-6a37-413e-af54-e108083c665f.jpg


58516c3d-5d6c-4e9e-b201-953e062113b6.jpg


17B3112C-3186-4AF9-BEA1-99FF15A69DAA.jpeg

Hii kazi ya Kinana unaiona ya kawaida tu?

Hebu tufahamishe wangapi ‘umeshawapika’ tangu uwe SG?

Nadhani hata Mkapa anakushangaa 😂

B73B594D-51A7-48CD-B650-BD0864E5CF1F.jpeg
 
Awapitishe kwenye tanuru la moto mkali ndiyo wataiva vizuri kama anavyotaka
 
Mene mene tekeli na felesi. Magufuli anatumia Kagame style, kila mtu anamuhisi ni adui, alianza CHADEMA kawamaliza, sasa kawarudia ma-CCM wenzie, hii movie ni tamu kuliko asali.

TUKAE MKAO WA KULA.
 
Ni kweli hawajapikwa, walikaangwa.

Kama anaona hawakuiva awarudishe jikoni awarost kabisa.
 
Dhana ya kupikwa labda akimaanisha wana allege na ukweli ukiwa mkweli wwe ni adui,wwe uwe ni ndio.Bashe na Nape wana uzoefu wa Miaka mingi kwenye siasa kuliko Bashiru
 
Kuna watu wanadhalilisha Sana taaluma PhD nyingi zinaonekana hazina msaada kwa jamii hata Professors wengi wanaonekana walikariri masomo na si kuelewa masomo na kuyaishi ndani ya jamii
 
Yeye alipikwa wapi, si alikuwa anafundisha tu nadharia pale dar es salamu kama vipi, au hii miaka miwili yeye ndo ameiva baada ya kukaa pale lumumba , aache matusi kwa wengine huyu.
 
Back
Top Bottom