Dk. Bashiru Ally: Nape, Bashe wanahitaji kupikwa

Dk. Bashiru Ally: Nape, Bashe wanahitaji kupikwa

Napata shida sana na nafasi hizi za chama tawala, Nape amewahi kushika wadhifa nyeti sana ndani ya chama sasa katibu mkuu anataka kudhihirisha kuwa chama kilikosea kumpa wadhifa ule Nape? Nashindwa kuamini kama CCM chama kubwa na lakipekee lingeweza kufanya ujinga huo kama ni hivyo basi kumbe hata sasa inawezekana kuna nyadhifa nyeti ndani ya chama na serikali pia ambazo wamepewa watu ambao hawajaiva ninaomba katibu mkuu aclarify hilo.
 
Kila nikikumbuka aliyoyafanya Nape huwa nacheka kwa dharau;
-Kujidai anashiriki kubugia wali "mandondo" kijijini na "wanyongwe" wakati wa kuki-exhume chama chao enzi zile,
-Kujidai anashiriki ujenzi wa majengo na "wanyongwe" wa maporini,
-Alivyojinasibu na bao la mkono kwa tambo huku asijue anayemsaidia awe "mtu" ni kiumbe gani,
-Alivyoingia kichwakichwa kuchunguza suala la Bashite kuutenda uhalifu na akapigwa rungu la pua bila huruma.Na aliposhtuka ili apige makelele akawekewa bastola utosini akanywea,
-Namna alivyoenda kuongea na wapiga kura jimboni mwake huku akitembea kifalme kwenye migongo ya akina mama lakini masaa machache akaambiwa aache ushambenga laa sivyo mkong'onto utaanza kwa mashangazi zake.
INATOSHA KUCHEKA TU!
 
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bshiru Ally amesema licha ya kuwa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ni kiongozi mzuri na alikuwa mwenezi wa CCM lakini bado anahitaji kupikwa.
apikwe supu au mchuzi kama itapendeza
 
Nape bado hajaiva tangu aanze kupikwa?
 
Ninachokijua mimi na ninachokiamini, Nape anakijua chama vizuri zaidi ya Bashiru.
Kweli kabisa.
Mimi niliwahi umuhimu lazima utaonekana dawa kuna mahali wanachama wenzangu wa ccm lazima wafike mahali wajue siasa ni hoja ni ubabe kuzuia Upinzani kufanya shughuli zao za kisiasa ni kujifariji tutawapata wanachama wa Upinzani na hisi hawajui yakuwa haiwezekani kwani watu wanaishi na Itikadi zao Rohoni na kuzidi kuongeza chuki kwa watu wa upinzani.

Nape amepita ktk zama za kuzomewa mitaani ni nani anayehitaji kupikwa
 
Nape aliwekwa hiyo nafasi zama hizo makhusus kwa ajii ya lowasa akajisahau kuona yeye ndo kafika kumbe...
 
Kweli kabisa.
Mimi niliwahi umuhimu lazima utaonekana dawa kuna mahali wanachama wenzangu wa ccm lazima wafike mahali wajue siasa ni hoja ni ubabe kuzuia Upinzani kufanya shughuli zao za kisiasa ni kujifariji tutawapata wanachama wa Upinzani na hisi hawajui yakuwa haiwezekani kwani watu wanaishi na Itikadi zao Rohoni na kuzidi kuongeza chuki kwa watu wa upinzani.

Nape amepita ktk zama za kuzomewa mitaani ni nani anayehitaji kupikwa
Kweli kabisa mkuu! Me namwelewa Sana Nape kuliko huyu Bashiru
 
Back
Top Bottom