nexus white
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 210
- 81
Kwanini wapinzani hawaalikwi katika kipindi hiki, tumechoka na longolongo za hao wanaokuwepo humo, wanaongea visivyoeleweka, wanadanganya na kukataa ukweli tu, uongozi ITV tendeni haki kama kweli mna nia njema na watanzania