DJ Khaled: Nikiwa karibu na Beyonce nageuka bubu

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,510
28,416
1-Zdt2NFm07C9CvZJ_yGF4LQ.jpeg


DJ Khaled anafahamika kwa kuwa mtu anayeongea sana lakini si pale anapokuwa mbele ya Beyonce.

Mkali huyo anazunguka na Queen Bey kwenye ziara yake ya Formation.

Ameliambia gazeti la The New York Times kuwa heshima aliyonayo kwa Bey ni kubwa mno kiasi cha kuwa muoga wa kuongea sana akiwa nay ili asije akaharibu.

“Nakuwa mkimya sana. Muda wote ambao nimewahi kuonana naye ni pale ninapokuwa na kaka yangu Jay Z, na huwa nasema “Hi,” na kuangalia upande mwingine haraka na ni kama nakimbia,” alisema.

“Sitaki tu kuongea sana. Siwezi nikaharibu.”
 
Hata mimi huwa bubu nikiwa karibu na na dp samia suhulu sio maneno mengi kama nkiwa na mtumbuzi bro
 
Mhhh ndugu kuyataja haya majina kwa usahihi lazima uwe na kinga ya bunge nisije nikabinya ma p yangu kama yericho nyerere
 
Dj khaleed sio Nigger ni mwarabu mwenye asili ya kipalestine (palestinian accent) but is in AMERICA.
Mkuu yeye mwenyewe anajiita Nigger.

Ukisikiliza wimbo wake wowote anaanza na kibwagizo kuwa "We niggers are the best"
 
Kuitwa.nigger au kuitwa nigger hakukufanyi uwe nigger kwenye.wild.for the.night ya asap rocky kuna sehemu anamwita skrillex nigga
 
Kuitwa.nigger au kuitwa nigger hakukufanyi uwe nigger kwenye.wild.for the.night ya asap rocky kuna sehemu anamwita skrillex nigga

Sio Nigger, ni Nigga. The former is strictly racist.

Nigga can be used on anyone, black, blue, white, yellow, as long as the context allows. E.g. Nigga please! My Nigga! Nigga what?! Them Niggas. It can not be used by everyone tho. Only blacks, and those close to.
 
Beyonce is a certified diva, and a phony. These kind of people are often hard to interact with, unless you're one too.
 
Back
Top Bottom